Jinsi ya kushinda na kufanikiwa katika network marketing ( mwaka wa kwanza) sehemu ya pili

Jinsi ya kushinda na kufanikiwa katika network marketing ( mwaka wa kwanza) sehemu ya pili

Rommy Ronny

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2015
Posts
664
Reaction score
884
Baada ya Kuona sehemu ya kwanza kitu gani kinasababisha kushindwa katika biashara ya network marketing, Leo tunaongelea sehemu ya pili kitu gani kinakuweza kukurudisha nyuma ushindwe kufanikiwa kupitia biashara hii.

1. USICHUKULIE KUKATALIWA KIBINAFSI
Watu wanaojiunga kwenye biashara hii lazima wafundishwe kwamba ukiambiwa hapana, Ahsante usiichukulie kama ndio umekataliwa ww. Mfano.
Mhudumu kwenye mgahawa anaweza ambiwa hapana ahsante na mmoja, ataambiwa sihitaji tena kwa sasa na mwengine anaweza pia ambiwa sipendi kahawa, Ila majibu haya yote hayamfanyi akakimbia akaenda chumba cha kubadilisha nguo na Kulia kwamba wateja wake wote wamemkataa. Na hiyo ndio ilivyo kama kwenye biashara hii kwa wafanya biashara wapya wanachukulia hapana kibinafsi, ila katika biashara yetu HAPANA yamaanisha kwamba muda wake sio sasa, na haimaanisha sikupendi wewe au nakuchukia unachofanya.
Katika biashara hii kukubali hapana ndio njia pekee ya kukutana na wote ambao watasema ndio. Kwahyo kwa njia hii zile hapana zote utazokutana nazo chukulia ni chanya kwamba muda utafika na hao watajiunga kwa team yako.


2.KUONGEA NA WATU WACHACHE KUHUSU BIASHARA
kama tutaongea na watu wachache kwa wiki kuhusu biashara hii asilimia ya kukataliwa ni kubwa. kumbuka hii sheria ongeza namba ya watu wakuongea nao kuhusu biashara na utapunguza asilimia ya kukataliwa.
Mfano unawajulisha watu wa 5 katika wiki unaandaa presentation uwafundishe, unawaambia kutakuwa na darasa nyumbani kwako jumamosi katika watu wa 5 wanatokea watu wawili na katika wawili hao unaowafundisha hamna hata mmoja anayejiunga unaanza wafikillia wale wa 3 kwanini hawajafika na kwasababu ulijiwekea kiwango cha watu wa 5 inakukatisha tamaa na kuona ni ngumu na unaacha biashara kati.
swala hili unaweza liondoa ukawa kwa wiki unawashirikisha japo watu 30 na katika hao 30 ukiandaa darasa wakaja watu 20 katika hao 20 kuna asilimia kubwa watu 10 wakajiunga na hapo utakuwa unafanikiwa na biashara yako kuendelea kukua.


Kwa leo naomba niishie hapa ila nitaendelea na sehemu ya 3 kuhusu hii biashara na kama tutaenda pamoja mpaka mwisho itakusaidia kukujenga na kufanikiwa.

Ahsanteni Sana

ROBERT MZIWANDA
E-MAIL: robertmziwanda@gmail.com
 
Baada ya Kuona sehemu ya kwanza kitu gani kinasababisha kushindwa katika biashara ya network marketing, Leo tunaongelea sehemu ya pili kitu gani kinakuweza kukurudisha nyuma ushindwe kufanikiwa kupitia biashara hii.

1. USICHUKULIE KUKATALIWA KIBINAFSI
Watu wanaojiunga kwenye biashara hii lazima wafundishwe kwamba ukiambiwa hapana, Ahsante usiichukulie kama ndio umekataliwa ww. Mfano.
Mhudumu kwenye mgahawa anaweza ambiwa hapana ahsante na mmoja, ataambiwa sihitaji tena kwa sasa na mwengine anaweza pia ambiwa sipendi kahawa, Ila majibu haya yote hayamfanyi akakimbia akaenda chumba cha kubadilisha nguo na Kulia kwamba wateja wake wote wamemkataa. Na hiyo ndio ilivyo kama kwenye biashara hii kwa wafanya biashara wapya wanachukulia hapana kibinafsi, ila katika biashara yetu HAPANA yamaanisha kwamba muda wake sio sasa, na haimaanisha sikupendi wewe au nakuchukia unachofanya.
Katika biashara hii kukubali hapana ndio njia pekee ya kukutana na wote ambao watasema ndio. Kwahyo kwa njia hii zile hapana zote utazokutana nazo chukulia ni chanya kwamba muda utafika na hao watajiunga kwa team yako.


2.KUONGEA NA WATU WACHACHE KUHUSU BIASHARA
kama tutaongea na watu wachache kwa wiki kuhusu biashara hii asilimia ya kukataliwa ni kubwa. kumbuka hii sheria ongeza namba ya watu wakuongea nao kuhusu biashara na utapunguza asilimia ya kukataliwa.
Mfano unawajulisha watu wa 5 katika wiki unaandaa presentation uwafundishe, unawaambia kutakuwa na darasa nyumbani kwako jumamosi katika watu wa 5 wanatokea watu wawili na katika wawili hao unaowafundisha hamna hata mmoja anayejiunga unaanza wafikillia wale wa 3 kwanini hawajafika na kwasababu ulijiwekea kiwango cha watu wa 5 inakukatisha tamaa na kuona ni ngumu na unaacha biashara kati.
swala hili unaweza liondoa ukawa kwa wiki unawashirikisha japo watu 30 na katika hao 30 ukiandaa darasa wakaja watu 20 katika hao 20 kuna asilimia kubwa watu 10 wakajiunga na hapo utakuwa unafanikiwa na biashara yako kuendelea kukua.


Kwa leo naomba niishie hapa ila nitaendelea na sehemu ya 3 kuhusu hii biashara na kama tutaenda pamoja mpaka mwisho itakusaidia kukujenga na kufanikiwa.

Ahsanteni Sana

ROBERT MZIWANDA
E-MAIL: robertmziwanda@gmail.com
Hii biashara imekaa ki imani zaidi
Amini nakuambia,kamwe haitamsaidia mtu
Bali ni kutajirisha walio juu ya PYRAMID
Ni wizi na usaniii.
 
Nzalendo hamna kitu ambacho hakiitaji imani kukifanya, na pyramid huwez ikwepa kwenye maisha yako ni kuchukulia jinsi gani yakufanikiwa ww kama ww out of it, Tuchukulie mfano kazi unayo ifanya jeeh unalipwa sawa na boss wako!!?? Jibu obvisious hapana haya jiulize kati ya ww na boss wako nani anayefanya kazi kubwa kuliko mwenzake jibu utaliona mwenywe.
Pili yaweza kuwa mfanyabiashara jeeh kama unanunua mazao hapo hamna pyramid!?? unachopata ww na wajuu yako ni sawa!!?

ATTITUDE ni kitu muhimu sanah katika maisha huwezi jizuia ww kufanikiwa kisa unajua aliyekuwa juu yako atafanikiwa fikiria watu wanaokuzunguka na utajisikiaje siku moja mtu akikushukuru kwa kumbadilishia maisha yake. Life is about fighting and keep believe in yourself.
 
Hii biashara imekaa ki imani zaidi
Amini nakuambia,kamwe haitamsaidia mtu
Bali ni kutajirisha walio juu ya PYRAMID
Ni wizi na usaniii.




Nzalendo hamna kitu ambacho hakiitaji imani kukifanya, na pyramid huwez ikwepa kwenye maisha yako ni kuchukulia jinsi gani yakufanikiwa ww kama ww out of it, Tuchukulie mfano kazi unayo ifanya jeeh unalipwa sawa na boss wako!!?? Jibu obvisious hapana haya jiulize kati ya ww na boss wako nani anayefanya kazi kubwa kuliko mwenzake jibu utaliona mwenywe.
Pili yaweza kuwa mfanyabiashara jeeh kama unanunua mazao hapo hamna pyramid!?? unachopata ww na wajuu yako ni sawa!!?

ATTITUDE ni kitu muhimu sanah katika maisha huwezi jizuia ww kufanikiwa kisa unajua aliyekuwa juu yako atafanikiwa fikiria watu wanaokuzunguka na utajisikiaje siku moja mtu akikushukuru kwa kumbadilishia maisha yake. Life is about fighting and keep believe in yourself
 
Naomba na sehemu ya kwanza, tafadhali.

SEHEMU YA KWANZA

Baada ya Kutofanikiwa kwa mara ya kwanza Katika Network Marketing( Biashara ya Mtandao ) Nilikaa na kujifunza na kusoma kutoka kwa waliofanikiwa ni jinsi gani naweza kuwa na kipato cha ziada kitakachonifanya niishi vizuri na kutimiza malengo yangu.

Kutokana na kujifunza huku kuhusu biashara ya mtandao nimeona leo nishirikishane na wenzangu ambao labda wanawaza jiunga na biashara hii au ambao wamejiunga tayari na wanafikilia au kuona wameshindwa au ambao wamekata tamaa, kuwapa Moyo na kujua vikwazo gani watakutana navyo mwaka wa kwanza wa biashara hii.
Mfano wa biashara za network marketing i.e Four corners alliance, Forever Living , Trevor , Edimark na zengnezo.

Leo nitazungumzia kuhusu KUKATALIWA ( PUUZA KUKATALIWA )

1. FANYA KUKATALIWA MSHIRIKA WAKO BADALA YA ADUI YAKO.



  • KUKATALIWA NA MUME/MKE

Kila mtu anakutana na kukataliwa na watu katika maisha ila kinachofanya kutuvunja moyo kabisa ni kukataliwa na watu wa karibu katika maisha tunaowapenda na kuwaheshimu na kutegemea kupata msaada toka kwao.kukataliwa huku na watu wakaribu husababbisha watu wengi kushindwa katika biashara ya mtandao kuliko sababu yoyote nyengine. Mfano halisi

Umetoka sikiliza biashara ya mtandao kila siku uliona haiwezekani ukaona waweza, ukaanza panga watu ambao utawasiliana nao na kuwa nao kwenye biashara hii kama timu yako. Unarudi nyumbani kutoka kwenye presentation ambayo umeelekezwa kuhusu biashara unarudi nyumbani ukiwa na shauku kubwa ya kumuelezea mke/mume wako jinsi gani mnaweza kuwa na kipato cha ziada so wamshirikisha, majibu yanakuwa hivi:
Mke/Mme: Hivi kweli unataka uanze fanya biashara ya kuuza products au kutafuta watu wajiunge kuanza kuwaomba watu hapana,kwanza hizi biashara ya mtandao nina rafiki zangu wameshindwa endelea na kazi yako ila hii biashara hapana.

Kwa majibu haya hasa kwa mtu wako wa karibu sana na unayempenda yatakufanya ushindwe kufanya biashara kama hujajiunga basi hata kabla hujajiunga au kama umejiunga basi utaishia hapo hata kujaribu kwamba unaweza fanikiwa.

NJIA SAHIHI YA KUZUIA KUKATALIWA NA MKE/MME
Kukataliwa na watu wakaribu yatokana na sponsor wengi kutowaeleza njia sahihi watu ambao wanataka kuwaunga au kuwapa njia mbadala ya kukabili hii njia ya kukataliwa, njia sahihi ilikuwa Sponsor kumuelekeza mfano Bob baada ya kutoka kusikiliza na kuelewa fursa ya kuhusu biashara ya mtandao na kutaka kujiunga sponsor angemuelekeza Bob kwamba kutokana na kutoijua biashara ya mtandao vizuri akifika nyumbani asimshirikishe mtu yoyote hata mkewe ila aandae siku nyengine ya presentation amchukue mkewe aende naye kwenye darasa akaelekezwe jinsi gani biashara ya mtandao inaweza wasaidia kufanikiwa katika maisha yao na wote waliofanikiwa kutokana na biashara ya mtandao, angefanya hivyo Bob asingekutana na kukataliwa na mtu wake wa karibu.


Mwisho wa sehemu ya kwanza.
Kutokana na leo ndio siku ya kwanza naanza kuandika kuhusu njia za kukwepa vikwazo vya kutofanikiwa katika biashara ya mtandao ( Network Marketing ) kwa mwaka wa kwanza, nisiwachoshe wasomaje wangu. Usikose sehemu ya pili tukiendelea kuelezea challenge ambazo zipo katika biashara ya network marketing na jins ya kuzishinda.

Ahsante kwa ushirikiano wako . Together we can.
Kwa mawasiliano na kama unamaswali au maoni tafadhali wasiliana nami.

E-mail : robertmziwanda@gmail.com
contact : 0714054545
4cornersalliance Member
https://www2.fourcornersalliancegroup.com/romeo15/join
 
Back
Top Bottom