Rommy Ronny
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 664
- 884
Baada ya Kutofanikiwa kwa mara ya kwanza Katika Network Marketing( Biashara ya Mtandao ) Nilikaa na kujifunza na kusoma kutoka kwa waliofanikiwa ni jinsi gani naweza kuwa na kipato cha ziada kitakachonifanya niishi vizuri na kutimiza malengo yangu.
Kutokana na kujifunza huku kuhusu biashara ya mtandao nimeona leo nishirikishane na wenzangu ambao labda wanawaza jiunga na biashara hii au ambao wamejiunga tayari na wanafikilia au kuona wameshindwa au ambao wamekata tamaa, kuwapa Moyo na kujua vikwazo gani watakutana navyo mwaka wa kwanza wa biashara hii.
Mfano wa biashara za network marketing i.e Four corners alliance, Forever Living , Trevor , Edimark na zengnezo.
Leo nitazungumzia kuhusu KUKATALIWA ( PUUZA KUKATALIWA )
1. FANYA KUKATALIWA MSHIRIKA WAKO BADALA YA ADUI YAKO.
Umetoka sikiliza biashara ya mtandao kila siku uliona haiwezekani ukaona waweza, ukaanza panga watu ambao utawasiliana nao na kuwa nao kwenye biashara hii kama timu yako. Unarudi nyumbani kutoka kwenye presentation ambayo umeelekezwa kuhusu biashara unarudi nyumbani ukiwa na shauku kubwa ya kumuelezea mke/mume wako jinsi gani mnaweza kuwa na kipato cha ziada so wamshirikisha, majibu yanakuwa hivi:
Mke/Mme: Hivi kweli unataka uanze fanya biashara ya kuuza products au kutafuta watu wajiunge kuanza kuwaomba watu hapana,kwanza hizi biashara ya mtandao nina rafiki zangu wameshindwa endelea na kazi yako ila hii biashara hapana.
Kwa majibu haya hasa kwa mtu wako wa karibu sana na unayempenda yatakufanya ushindwe kufanya biashara kama hujajiunga basi hata kabla hujajiunga au kama umejiunga basi utaishia hapo hata kujaribu kwamba unaweza fanikiwa.
NJIA SAHIHI YA KUZUIA KUKATALIWA NA MKE/MME
Kukataliwa na watu wakaribu yatokana na sponsor wengi kutowaeleza njia sahihi watu ambao wanataka kuwaunga au kuwapa njia mbadala ya kukabili hii njia ya kukataliwa, njia sahihi ilikuwa Sponsor kumuelekeza mfano Bob baada ya kutoka kusikiliza na kuelewa fursa ya kuhusu biashara ya mtandao na kutaka kujiunga sponsor angemuelekeza Bob kwamba kutokana na kutoijua biashara ya mtandao vizuri akifika nyumbani asimshirikishe mtu yoyote hata mkewe ila aandae siku nyengine ya presentation amchukue mkewe aende naye kwenye darasa akaelekezwe jinsi gani biashara ya mtandao inaweza wasaidia kufanikiwa katika maisha yao na wote waliofanikiwa kutokana na biashara ya mtandao, angefanya hivyo Bob asingekutana na kukataliwa na mtu wake wa karibu.
Mwisho wa sehemu ya kwanza.
Kutokana na leo ndio siku ya kwanza naanza kuandika kuhusu njia za kukwepa vikwazo vya kutofanikiwa katika biashara ya mtandao ( Network Marketing ) kwa mwaka wa kwanza, nisiwachoshe wasomaje wangu. Usikose sehemu ya pili tukiendelea kuelezea challenge ambazo zipo katika biashara ya network marketing na jins ya kuzishinda.
Ahsante kwa ushirikiano wako . Together we can.
Kwa mawasiliano na kama unamaswali au maoni tafadhali wasiliana nami.
E-mail : robertmziwanda@gmail.com
contact : 0714054545
4cornersalliance Member
https://www2.fourcornersalliancegroup.com/romeo15/join
Kutokana na kujifunza huku kuhusu biashara ya mtandao nimeona leo nishirikishane na wenzangu ambao labda wanawaza jiunga na biashara hii au ambao wamejiunga tayari na wanafikilia au kuona wameshindwa au ambao wamekata tamaa, kuwapa Moyo na kujua vikwazo gani watakutana navyo mwaka wa kwanza wa biashara hii.
Mfano wa biashara za network marketing i.e Four corners alliance, Forever Living , Trevor , Edimark na zengnezo.
Leo nitazungumzia kuhusu KUKATALIWA ( PUUZA KUKATALIWA )
1. FANYA KUKATALIWA MSHIRIKA WAKO BADALA YA ADUI YAKO.
- KUKATALIWA NA MUME/MKE
Umetoka sikiliza biashara ya mtandao kila siku uliona haiwezekani ukaona waweza, ukaanza panga watu ambao utawasiliana nao na kuwa nao kwenye biashara hii kama timu yako. Unarudi nyumbani kutoka kwenye presentation ambayo umeelekezwa kuhusu biashara unarudi nyumbani ukiwa na shauku kubwa ya kumuelezea mke/mume wako jinsi gani mnaweza kuwa na kipato cha ziada so wamshirikisha, majibu yanakuwa hivi:
Mke/Mme: Hivi kweli unataka uanze fanya biashara ya kuuza products au kutafuta watu wajiunge kuanza kuwaomba watu hapana,kwanza hizi biashara ya mtandao nina rafiki zangu wameshindwa endelea na kazi yako ila hii biashara hapana.
Kwa majibu haya hasa kwa mtu wako wa karibu sana na unayempenda yatakufanya ushindwe kufanya biashara kama hujajiunga basi hata kabla hujajiunga au kama umejiunga basi utaishia hapo hata kujaribu kwamba unaweza fanikiwa.
NJIA SAHIHI YA KUZUIA KUKATALIWA NA MKE/MME
Kukataliwa na watu wakaribu yatokana na sponsor wengi kutowaeleza njia sahihi watu ambao wanataka kuwaunga au kuwapa njia mbadala ya kukabili hii njia ya kukataliwa, njia sahihi ilikuwa Sponsor kumuelekeza mfano Bob baada ya kutoka kusikiliza na kuelewa fursa ya kuhusu biashara ya mtandao na kutaka kujiunga sponsor angemuelekeza Bob kwamba kutokana na kutoijua biashara ya mtandao vizuri akifika nyumbani asimshirikishe mtu yoyote hata mkewe ila aandae siku nyengine ya presentation amchukue mkewe aende naye kwenye darasa akaelekezwe jinsi gani biashara ya mtandao inaweza wasaidia kufanikiwa katika maisha yao na wote waliofanikiwa kutokana na biashara ya mtandao, angefanya hivyo Bob asingekutana na kukataliwa na mtu wake wa karibu.
Mwisho wa sehemu ya kwanza.
Kutokana na leo ndio siku ya kwanza naanza kuandika kuhusu njia za kukwepa vikwazo vya kutofanikiwa katika biashara ya mtandao ( Network Marketing ) kwa mwaka wa kwanza, nisiwachoshe wasomaje wangu. Usikose sehemu ya pili tukiendelea kuelezea challenge ambazo zipo katika biashara ya network marketing na jins ya kuzishinda.
Ahsante kwa ushirikiano wako . Together we can.
Kwa mawasiliano na kama unamaswali au maoni tafadhali wasiliana nami.
E-mail : robertmziwanda@gmail.com
contact : 0714054545
4cornersalliance Member
https://www2.fourcornersalliancegroup.com/romeo15/join