Mwakawasila
Member
- Oct 23, 2024
- 23
- 20
1.Fungua akaunti ya uwekezaji (BOT CDS ): Ili kufungua akaunti hii mwekezaji anatakiwa aambatanishe vitu vifuatavyo.
a. Picha 3 za passport
b. Copy ya TIN certificate
c. Copy ya kitambulisho cha taifa
2.Baada ya kuhakikisha viambatanisho vinavyohitajika, mwekezaji anatakiwa Kujaza fomu ya kufungua akaunti ya uwekezaji.
3.Akaunti ikiwa imeshafunguliwa hatua inayofata, mwekezaji anabaini aina ya hatifungani anayotaka (miaka 2, 5, 7,10,15,20 na 25)
pamoja na tarehe ya mnada wa hatifungani iliyochaguliwa kupitia kalenda inayopatikana kwenye tovuti ya Benki kuu ya Tanzania (BOT)
4.Mwekezaji anatakiwa Kujaza bid application form ambayo ataiwasilisha ofisini Kwa wakala aliyemchagua kwenye soko la hisa na kusubiria matokeo ya mnada huo
5.Matokeo hutolewa jioni ya siku ya mnada ambayo hutokana na bei ambayo mwekezaji amejaza kwenye form,
mwekezaji anapaswa kufanya malipo siku ya kazi inayofuata. Ambayo malipo hayo hufanywa kupitia benki anayotumia muwekezaji.
6. Kiwango cha chini cha kuwekeza ni TZS millioni 1.
*Ikiwa unataka kuuza hatifungani ulionunua kabla haijafika ukomo wake(maturity), wasiliana WAKALA uliye mchagua kwa msaada Zaidi.
MWAKAWASILA
MWALIMU WA BIASHARA
UWEKEZAJI NA AFYA
Whatsap 0744980339
a. Picha 3 za passport
b. Copy ya TIN certificate
c. Copy ya kitambulisho cha taifa
2.Baada ya kuhakikisha viambatanisho vinavyohitajika, mwekezaji anatakiwa Kujaza fomu ya kufungua akaunti ya uwekezaji.
3.Akaunti ikiwa imeshafunguliwa hatua inayofata, mwekezaji anabaini aina ya hatifungani anayotaka (miaka 2, 5, 7,10,15,20 na 25)
pamoja na tarehe ya mnada wa hatifungani iliyochaguliwa kupitia kalenda inayopatikana kwenye tovuti ya Benki kuu ya Tanzania (BOT)
4.Mwekezaji anatakiwa Kujaza bid application form ambayo ataiwasilisha ofisini Kwa wakala aliyemchagua kwenye soko la hisa na kusubiria matokeo ya mnada huo
5.Matokeo hutolewa jioni ya siku ya mnada ambayo hutokana na bei ambayo mwekezaji amejaza kwenye form,
mwekezaji anapaswa kufanya malipo siku ya kazi inayofuata. Ambayo malipo hayo hufanywa kupitia benki anayotumia muwekezaji.
6. Kiwango cha chini cha kuwekeza ni TZS millioni 1.
*Ikiwa unataka kuuza hatifungani ulionunua kabla haijafika ukomo wake(maturity), wasiliana WAKALA uliye mchagua kwa msaada Zaidi.
MWAKAWASILA
MWALIMU WA BIASHARA
UWEKEZAJI NA AFYA
Whatsap 0744980339