Jinsi ya kusoma maandishi na vitabu vya lugha yoyote ile

Superpower

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2018
Posts
826
Reaction score
920
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza hapo juu, ni kwamba kutokana na maendeleo ya kiteknolojia swala la kujua lugha limekuwa sio tatizo tena kwa wewe kujipatia maarifa.

Sasa mm Leo ningependa kushare na nyinyi habari hizi. Kwa kuwatumia video mbili ambazo ni part 1 inahusu kutafsiri hardcopy na part 2 ni kutafsiri softcopy kwa gharama ya Tshs 2000 tu.

Kwa mawasiliano zaidi unaweza ni pm.
 
Kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…