Jinsi ya kusoma sd bioline HIV result

noel oga

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2015
Posts
272
Reaction score
219
wasalaaam wapendwa
Naomba kujua jambo kuhusu hiki kipimo cha ukimwi sd bioline,ni kwamba kimeandikwa dont read result after twenty minutes it may give false result,ok nahitaji mnifamishe madaktari je nini hutokea kama utasoma majibu baada ya dakika ishirini,lets say nimepima majibu nikasoma baada ndani ya dakika ishirin yakawa negative,na nikakiacha kifaa baada ya kusoma then nikaja kumuonyesha mke wangu baada ya dakika hizo ishirin je kifaa kinaweza kikabadili majibu au kikafanya changes na ndio sababu ya wao kuandika nisisome majib baada ya dakika ishirini? karibun madaktari wa maabara naomba ufafanuzi
 
Ukikisoma Baada Ya Hizo dakika mara Nyingi Kinaleta Majibu Ya Positive.. Ndo maana Serikali ilivistopisha Vipimo hivyo

Tumia Determine Tm ni Nzuri kuliko hivyo
 
Kikionyesha mistari miwili tuu .....tayari ... 'Yaani tumpeleke mwema huyuuuu kwenye nyumba ya milele...!'
 
mm sio dactari lkn naweza saidia, kama unataka kumuonesha mkeo majibu baada ya dkika 20 unaeza enda angaza watakupa cheti ambacho unaweza ukajamuonesha mkeo majibu hata baada ya masaa 20
 
After twenty minutes kinadetect virus wa magonjwa mengine, mfano gono, kaswende n.k mkuu
 
Ukikisoma Baada Ya Hizo dakika mara Nyingi Kinaleta Majibu Ya Positive.. Ndo maana Serikali ilivistopisha Vipimo hivyo

Tumia Determine Tm ni Nzuri kuliko hivyo
Ukikisoma Baada Ya Hizo dakika mara Nyingi Kinaleta Majibu Ya Positive.. Ndo maana Serikali ilivistopisha Vipimo hivyo

Tumia Determine Tm ni Nzuri kuliko hivyo
Ukikisoma Baada Ya Hizo dakika mara Nyingi Kinaleta Majibu Ya Positive.. Ndo maana Serikali ilivistopisha Vipimo hivyo

Tumia Determine Tm ni Nzuri kuliko hivyo
 
mm sio dactari lkn naweza saidia, kama unataka kumuonesha mkeo majibu baada ya dkika 20 unaeza enda angaza watakupa cheti ambacho unaweza ukajamuonesha mkeo majibu hata baada ya masaa 20

ahsante ndugu
 
Ukikisoma Baada Ya Hizo dakika mara Nyingi Kinaleta Majibu Ya Positive.. Ndo maana Serikali ilivistopisha Vipimo hivyo

Tumia Determine Tm ni Nzuri kuliko hivyo[/QUOTE
sd bioline ndiyo inayotumika kwa sasa,ahsante kwa ushauri
 
Ukikisoma Baada Ya Hizo dakika mara Nyingi Kinaleta Majibu Ya Positive.. Ndo maana Serikali ilivistopisha Vipimo hivyo

Tumia Determine Tm ni Nzuri kuliko hivyo
Determine ndiyo iliyo zuiliwa na serikali na sasa kipimo kinacho tumika ni hicho cha sd bioline na kiko sensitive zaid ya determine ,,determine sikuhizi havitumiki.
 
hata baada y dakika ishirini kupita
Lakini kikikupa majibu na kukawa hakuna unyevu dam ikisha ganda pale basi kikikauka unaweza kituza hata miezi miwili na zaid huwa hakibadili majibu.
 
Ukikisoma Baada Ya Hizo dakika mara Nyingi Kinaleta Majibu Ya Positive.. Ndo maana Serikali ilivistopisha Vipimo hivyo

Tumia Determine Tm ni Nzuri kuliko hivyo
mkuu bioline ndio iko sensitive kuliko determine, japo ni kwweli baada ya hizo dakika 25 majibu yanaweza kubadilika so cha kumshauri huyu mtu ni kwenda kupima akiwa na mkewe, masuala ya kupelekeana majibu nyumbani sio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…