Jinsi ya kustaafu miaka 5 mbele toka leo

Jinsi ya kustaafu miaka 5 mbele toka leo

Beberu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
4,548
Reaction score
9,740
Achana na salamu kwan ni chakula?

Sasa wakuu, plan hii inainvolve mtu kustaafu miaka mitano mbele kuanzia siku ya leo, may be inaweza kuwa 6 ila sio mbaya,

Plan yenyewe ni hivi, hakikisha unasave 2.2M kila mwezi kwa miaka 5 toka leo katika mfuko wa Bond fund UTT ambao kwa wastani huongezeka thamani yake kwa 12-16% kwa mwaka, hapo baada ya miaka mitano utakuwa na 200M.

Screenshot_2023-11-30-13-10-44-620_com.android.chrome.jpg

Na hivyo utakuwa unavuta gawio la 2M kwa mwezi, hii pesa kama una nyumba na gari kwa bongo unaishi maisha yako fresh kabisa, unasomesha watoto shule nzuri tu, huku ukipiga tu madeal ya hapa na pale ya kukufanya uwe busy.

Vitu vya kuzingatia,

#1.Hutakiwi kuwa na familia kubwa, watoto mwisho watatu, ukiwa nao wawili inatosha,

#2. Hii ni theory based on papers, inawezekana ila kamtiti ni kusave hio 2.2M

#3. Uwe na roho ya kibandidu

Mpaka wakati mwingine tena,
Ni wenu Beberu J
 
Achana na salamu kwan ni chakula?

Sasa wakuu, plan hii inainvolve mtu kustaafu miaka mitano mbele kuanzia siku ya leo, may be inaweza kuwa 6 ila sio mbaya,

Plan yenyewe ni hivi, hakikisha unasave 2.2M kila mwezi kwa miaka 5 toka leo katika mfuko wa Bond fund UTT ambao kwa wastani huongezeka thamani yake kwa 12-16% kwa mwaka, hapo baada ya miaka mitano utakuwa na 200M.

View attachment 2830856
Na hivyo utakuwa unavuta gawio la 2M kwa mwezi, hii pesa kama una nyumba na gari kwa bongo unaishi maisha yako fresh kabisa, unasomesha watoto shule nzuri tu, huku ukipiga tu madeal ya hapa na pale ya kukufanya uwe busy.

Vitu vya kuzingatia,

#1.Hutakiwi kuwa na familia kubwa, watoto mwisho watatu, ukiwa nao wawili inatosha,

#2. Hii ni theory based on papers, inawezekana ila kamtiti ni kusave hio 2.2M

#3. Uwe na roho ya kibandidu

Mpaka wakati mwingine tena,
Ni wenu Beberu J
Naona mnakariri sana UTT Bonds, soon Bonds zitashuka thamani sijui mtafanya nini? Subiri Dola ianze dorora 2024, ila wazo zuri mtoa mada, inahitaji utafiti zaidi ya Bonds za miaka 10-30 ijayo maana mambo yanabadilika.
 
Naona mnakariri sana UTT Bonds, soon Bonds zitashuka thamani sijui mtafanya nini? Subiri Dola ianze dorora 2024, ila wazo zuri mtoa mada, inahitaji utafiti zaidi ya Bonds za miaka 10-30 ijayo maana mambo yanabadilika.
Bond zikishuka chini ya 10% tunahamia kwenye real estate, hii nayo hutoa 10-15% kwa mwaka,

Kikubwa tutastaafu mapema
 
Back
Top Bottom