Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
1. Uza dawa za meno zenye fluoride, kuua jicho la maono.
2. Fanya sukari na junks food zipatikane kila mahali, wawe vibonge na wapumbavu
3. Wape burudani za bure na pombe ziwepo, kizazi cha ulevi hakina maamuzi
4. Wawekee video za ngono kila mahali, wakishiba wafikirie kujikojolesha
5. Hamasisha kamali na ubashiri, waaminishe kuna hela rahisi hadi wawe addicted na kubeti sio kazi
6. Warahisishie huduma za TV ili waone Taarifa za habari na burudani za mpira kuteka hisia zao, tunatumia habari kusambaza
7. Wafunge kweny mnyororo wa umasikini kwa kuwapa mikopo hata kama kodi wanazo, wape Netflix, video games & simu janja
8. Hamasisha wale mara 3+ kwa afya ili walaji wawe wengi kuliko wazalishaji, tuwauzie sumu za kiwandani
9. Waambie kilimo ni kwa ajili ya watu masikini, waone ufahari kupanga mjini ili wakose sehemu ya kulima mboga na kufuga hata kuku
10. Wape Condom bure wazitumie kwa majaribio wakifanya ili kutanua soko la biashara ya ngono
11. Wape msaada wa mbegu za mazao na pembejeo (GMO) ili kuua mbegu zao halisi kisha wawe tegemezi wa mbegu na chakula
12. Angamiza utajiri wao kwa kuweka leseni kubwa viwandani na penati mzigo. Hakuna anayetakiwa kuwa tajiri kwa sababu huwezi kumuendesha tajiri
13. Wapumbaze kwa dini, wabishane nani msafi. Waamini viongozi wa dini sio Mungu
14. Hamasisha huduma za maji waache vyanzo halisi, kisha weka sumu ngumu na homoni za kike kwenye maji ya bomba ili wanaume wasizae
15. Waongezee na kupandisha kodi kila siku hadi wawe tegemezi wa serikali zao
2. Fanya sukari na junks food zipatikane kila mahali, wawe vibonge na wapumbavu
3. Wape burudani za bure na pombe ziwepo, kizazi cha ulevi hakina maamuzi
4. Wawekee video za ngono kila mahali, wakishiba wafikirie kujikojolesha
5. Hamasisha kamali na ubashiri, waaminishe kuna hela rahisi hadi wawe addicted na kubeti sio kazi
6. Warahisishie huduma za TV ili waone Taarifa za habari na burudani za mpira kuteka hisia zao, tunatumia habari kusambaza
7. Wafunge kweny mnyororo wa umasikini kwa kuwapa mikopo hata kama kodi wanazo, wape Netflix, video games & simu janja
8. Hamasisha wale mara 3+ kwa afya ili walaji wawe wengi kuliko wazalishaji, tuwauzie sumu za kiwandani
9. Waambie kilimo ni kwa ajili ya watu masikini, waone ufahari kupanga mjini ili wakose sehemu ya kulima mboga na kufuga hata kuku
10. Wape Condom bure wazitumie kwa majaribio wakifanya ili kutanua soko la biashara ya ngono
11. Wape msaada wa mbegu za mazao na pembejeo (GMO) ili kuua mbegu zao halisi kisha wawe tegemezi wa mbegu na chakula
12. Angamiza utajiri wao kwa kuweka leseni kubwa viwandani na penati mzigo. Hakuna anayetakiwa kuwa tajiri kwa sababu huwezi kumuendesha tajiri
13. Wapumbaze kwa dini, wabishane nani msafi. Waamini viongozi wa dini sio Mungu
14. Hamasisha huduma za maji waache vyanzo halisi, kisha weka sumu ngumu na homoni za kike kwenye maji ya bomba ili wanaume wasizae
15. Waongezee na kupandisha kodi kila siku hadi wawe tegemezi wa serikali zao