mmmh! yani kuna vituko, achilia mbali mwanamke anakwenda hospitali kuomba appointment ya kufanyiwa operation atolewa mtoto eti hataki kusukuma, na wakati huo keshafanya ultra sound anajua atapata mtoto wa jinsi gani basi kwa nyondo utamsikia anasema "JUMATANO NITAPATA BABY GIRL"Siku hizi wanakamua maziwa yanawekwa kwenye friji hadi wiki mbili mtoto anakunywa hayobhayo yakiisha ndo anakamua mengine kisa ubusy.
Mtoto anakula viporo tangu akiwa mchanga akifikisha mwaka na nusu keshaanza shule, aaah mzungu atuhurumie tu jaman bora apige marufuku kuigwa igwa.
Ndugu sio kila kitu lazima uweke udini. Sasa unapotoa mstari wa biblia unamaanisha nn kwa wenye dini tofauti na ukristo?ni kujitafutia malumbano yasiyo na kichwa wala miguu.
Haya tukiangalia huo mstari huyo aliyemlalia mtoto wake akili zake anazijua mwenyewe maana alikua tayari mtoto wa mwenzie auliwe ili wakose wote,mama mwenye uchungu hawezi ona mtoto wa mwenzie akiumia.
Mkuu toka umekua umewahi kusikia mama kalalia mwanae akafa Lin?, teke la kuku halimuui mwanae. Anyway mambo ya chumba cha mtoto ni option ya mtu kama una interest hiyo fanya tu but for my opinion naona haina ulazima kama sio maana kabisa
Siku hizi wanakamua maziwa yanawekwa kwenye friji hadi wiki mbili mtoto anakunywa hayobhayo yakiisha ndo anakamua mengine kisa ubusy.
Mtoto anakula viporo tangu akiwa mchanga akifikisha mwaka na nusu keshaanza shule, aaah mzungu atuhurumie tu jaman bora apige marufuku kuigwa igwa.
me wangu nalala nae bado nahisi nitakamiss acha tu nikafaidi jamani rahaYaani mtoto wangu mdogo alale chumba kingine mie nilale chumba kingine! du! wazungu hawa! watoto wanaozaliwa miaka hii wanakosa mapenzi ya mama, ashinde na dada wa kazi, mama hanyonyeshi eti nyonyo zitasinyaa, siku akitoka na mama yake anasukumwa kwenye kigari wala habebwi mgongoni, halafu tena na usiku alale chumba chake, hivi mtoto huyu ni lini atapata harufu ya mama! mweeeeeeeeeeeee! bora nibakie na upare wangu mwanzo mwisho uzungu nooooo!
Umenichekesha eti watoto wachanga wanakula viporo.
Lakini mkuu kuna tatizo mtoto kuanza shule mapema, si ndio vizuri?!
mmmh! yani kuna vituko, achilia mbali mwanamke anakwenda hospitali kuomba appointment ya kufanyiwa operation atolewa mtoto eti hataki kusukuma, na wakati huo keshafanya ultra sound anajua atapata mtoto wa jinsi gani basi kwa nyondo utamsikia anasema "JUMATANO NITAPATA BABY GIRL"
Hao walikuwa makahaba mkuu kwamjibu wa hicho kifungu!! BT kwa mwanamke wa kawaida hawezi mlalia mwanae .1 wafalme 3:16-28
Mmh jaman mwaka na nusu au miaka miwili anaenda fanya nn shule si ndio mateso yanaanzia hapo kufinywa na walezi huko.
hahaha "bongo kweli nyoso bongo balaa"-Mr.bluechumbaa!! wakati nguo tu tunawanunulia za kukua nazo
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Binafsi naona si sawa kabisa mtoto kwenda shule akiwa katoddler kamiaka miwili mitatu yani nikumtesa na kumchosha shule mapema, miaka hiyo ni ya kucheza nyumbani na twenzake.Mmh jaman mwaka na nusu au miaka miwili anaenda fanya nn shule si ndio mateso yanaanzia hapo kufinywa na walezi huko.
Binafsi naona si sawa kabisa mtoto kwenda shule akiwa katoddler kamiaka miwili mitatu yani nikumtesa na kumchosha shule mapema, miaka hiyo ni ya kucheza nyumbani na twenzake.