Jinsi ya kutengeneza blog / websites inayoweza kuwa searched kwenye Google search

Jinsi ya kutengeneza blog / websites inayoweza kuwa searched kwenye Google search

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Habari wakuu,
Naomba msaada jinsi gani naweza tengeneza website / blog ambayo itaweza kuonekana kwenye search engine ya Google

Ambaye anafahamu nipitie site ipi ili kutengeneza hiyo website / blog msaada tafadhari

Niwatakie majukumu mema ya kazi wakuu
 
Kuna website nyingi ambazo zitakuwezesha kutengeneza website yako bila kuwa na ujuzi wa programming language ( c++, html, PHP na nyinginezo)
 
Aliyeuliza mwenyewe ni wamatukio nahisi mda huu yupo kwenye tukio kaliacha swali linahang ila nivema kwanza kuhakikisha muundo wa page upo vizuri mpangilio wa code unaoeleweka na auto sitemap submitting tena xml is recommended
 
Hiyo inawezekana kuwa searched kwenye google SEO inshu ni post kupatikana kwenye google seo ndio mtiti mpaka leo bado unaniumiza kichwa
 
Naombeni msaada jinsi ya ku add H1 kwenye html
 
Habari wakuu,
Naomba msaada jinsi gani naweza tengeneza website / blog ambayo itaweza kuonekana kwenye search engine ya Google

Ambaye anafahamu nipitie site ipi ili kutengeneza hiyo website / blog msaada tafadhari

Niwatakie majukumu mema ya kazi wakuu
Ranking up on Google and other search engine inachukua muda lazima blog yako iwe na content ambazo ni za kipekee. Pia isiyopungua miezi sita online.

Vile vile kama unataka kutengeneza leo kisha leo leo uwe rank up! kwenye search engine, Itatakiwa utoe pesa kununua traffic..

Ila kama una blog au website iko na siku zaidi ya miezi sita au mwaka na huonekani kwenye search engine.

Rekebisha SEO zako unazotegemea kuwa rank up! Maana kuna kitu kitakuwa hakiko sawa...

Pia kama una hata picha moja yenye copyright huwezi ku rank up!..

au kama una content uliyoicopy kwa website au blog nyingine bila kuformat uandishi wake ni changamoto.

Vile vile kama unatumia kingereza katika blog au website yako ku rank up sio kazi rahisi.. maana kuna competition ya kutosha hasa ukizingatia wengi wanakumia AI tools...

Hivyo unatakiwa kuwa unique as possible,

Vile vile kama ni self host ndoto ya ku rank up! Sahau...

Vile vile kama utahost web au blog yako katika hosting isiyo na nguvu ku rank up ni ndoto...

Mwisho wa yote unahitaji website ya namna gani?

Target traffic yako ni wapi?

Una masaa mangapi ya kuwekeza kwenye website au blog?

La mwisho japo sio muhimu una elimu gani ya web designing?
Na unataka utengeneze from scratch au read made theme/template/html

Rakims
 
Ranking up on Google and other search engine inachukua muda lazima blog yako iwe na content ambazo ni za kipekee. Pia isiyopungua miezi sita online.

Vile vile kama unataka kutengeneza leo kisha leo leo uwe rank up! kwenye search engine, Itatakiwa utoe pesa kununua traffic..

Ila kama una blog au website iko na siku zaidi ya miezi sita au mwaka na huonekani kwenye search engine.

Rekebisha SEO zako unazotegemea kuwa rank up! Maana kuna kitu kitakuwa hakiko sawa...

Pia kama una hata picha moja yenye copyright huwezi ku rank up!..

au kama una content uliyoicopy kwa website au blog nyingine bila kuformat uandishi wake ni changamoto.

Vile vile kama unatumia kingereza katika blog au website yako ku rank up sio kazi rahisi.. maana kuna competition ya kutosha hasa ukizingatia wengi wanakumia AI tools...

Hivyo unatakiwa kuwa unique as possible,

Vile vile kama ni self host ndoto ya ku rank up! Sahau...

Vile vile kama utahost web au blog yako katika hosting isiyo na nguvu ku rank up ni ndoto...

Mwisho wa yote unahitaji website ya namna gani?

Target traffic yako ni wapi?

Una masaa mangapi ya kuwekeza kwenye website au blog?

La mwisho japo sio muhimu una elimu gani ya web designing?
Na unataka utengeneze from scratch au read made theme/template/html

Rakims
Asante Mkuu naomba niku PM kwa maarifa zaidi
 
Ranking up on Google and other search engine inachukua muda lazima blog yako iwe na content ambazo ni za kipekee. Pia isiyopungua miezi sita online.

Vile vile kama unataka kutengeneza leo kisha leo leo uwe rank up! kwenye search engine, Itatakiwa utoe pesa kununua traffic..

Ila kama una blog au website iko na siku zaidi ya miezi sita au mwaka na huonekani kwenye search engine.

Rekebisha SEO zako unazotegemea kuwa rank up! Maana kuna kitu kitakuwa hakiko sawa...

Pia kama una hata picha moja yenye copyright huwezi ku rank up!..

au kama una content uliyoicopy kwa website au blog nyingine bila kuformat uandishi wake ni changamoto.

Vile vile kama unatumia kingereza katika blog au website yako ku rank up sio kazi rahisi.. maana kuna competition ya kutosha hasa ukizingatia wengi wanakumia AI tools...

Hivyo unatakiwa kuwa unique as possible,

Vile vile kama ni self host ndoto ya ku rank up! Sahau...

Vile vile kama utahost web au blog yako katika hosting isiyo na nguvu ku rank up ni ndoto...

Mwisho wa yote unahitaji website ya namna gani?

Target traffic yako ni wapi?

Una masaa mangapi ya kuwekeza kwenye website au blog?

La mwisho japo sio muhimu una elimu gani ya web designing?
Na unataka utengeneze from scratch au read made theme/template/html

Rakims
Nashida nawe unipe elimu zaidi
 
Back
Top Bottom