Jinsi ya kutengeneza Juisi ya tikiti maji(watermelon juice)

Jinsi ya kutengeneza Juisi ya tikiti maji(watermelon juice)

Aaliyyah

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2022
Posts
19,041
Reaction score
46,239
Natumaini mkopoa na mna afya njema na wagonjwa Mungu awape shufaa

Leo nashare na nyinyi jinsi ya kutengeneza juis tamu ya tikiti maji nzuri na yenye faida nyingi kiafya
Mahitaji
Tikitimaji kias inategemea na kias unachotaka
Vipande vya barafu(ice cubes)

Hatua
Kata tikiti maji vipande vidogo vidogo
Ondoa maganda
Kisha weka matikiti kwenye blender
Saga had yawe laini (hatuongezi maji)
Yenyew hutoa maji ya kutosha

Hatua ya pili
Chukua chujio lenye matundu mapana kidogo Ili yasizuie sana zile mbegu ziingie kwenye glass yabak makapi tu,chuja juis Yako kwenye chombo kingine (kuchuja sio lazima ni nzuri zaidi kunywa hivohivo)ila hakikisha inasagika vizuri

Hatua ya 3
Chukua glass weka vipande vya barafu kias upendacho mm Huwa natumia vitano had 7
Mininia juis kwenye glass na inakuwaje tayar Kwa kunywa
Juis hii Ina faida nying
-Huimarisha afya moyo
-Husafisha Figo
-Nzuri Kwa afya ya uzazi Kwa wanawake na wanaume
Faida Nyingine ongezeeni nyie ndugu zangu
Screenshot_2024_1127_102912.png
Ice cubes/barafu
Screenshot_2024_1127_100518.png

 
Natumaini mkopoa na mna afya njema na wagonjwa Mungu awape shufaa

Leo nashare na nyinyi jinsi ya kutengeneza juis tamu ya tikiti maji nzuri na yenye faida nyingi kiafya
Mahitaji
Tikitimaji kias inategemea na kias unachotaka
Vipande vya barafu(ice cubes)

Hatua
Kata tikiti maji vipande vidogo vidogo
Ondoa maganda
Kisha weka matikiti kwenye blender
Saga had yawe laini (hatuongezi maji)
Yenyew hutoa maji ya kutosha

Hatua ya pili
Chukua chujio lenye matundu mapana kidogo Ili yasizuie sana zile mbegu ziingie kwenye glass yabak makapi tu,chuja juis Yako kwenye chombo kingine (kuchuja sio lazima ni nzuri zaidi kunywa hivohivo)ila hakikisha inasagika vizuri

Hatua ya 3
Chukua glass weka vipande vya barafu kias upendacho mm Huwa natumia vitano had 7
Mininia juis kwenye glass na inakuwaje tayar Kwa kunywa
Juis hii Ina faida nying
-Huimarisha afya moyo
-Husafisha Figo
-Nzuri Kwa afya ya uzazi Kwa wanawake na wanaume
Faida Nyingine ongezeeni nyie ndugu zangu View attachment 3162950Ice cubes/barafu View attachment 3162951
View attachment 3162953
FB_IMG_17326073649320219.jpg
 
Shukrani sana na wale wa team kuongeza vitu kama mimi ukiweka Tangawizi na limao kidogo hapo itakuwa 🔥🔥🔥🔥

Kwa ME , Mama la mama akitaka kuja tu kama nusu saa hivi, shindilia dongo lako la kwenda (ugali wa kutosha) afu piga na hii juice , ongeza sauti ya bufa halafu sikilizia milio

Shukrani zitakuja tu baadae
 
Hii nzuri sana
Ukitaka kuenjoy zaidi mimi huwa nachanganya nanasi,passion na tikiti ni nzuri sana
 
Shukrani sana na wale wa team kuongeza vitu kama mimi ukiweka Tangawizi na limao kidogo hapo itakuwa 🔥🔥🔥🔥

Kwa ME , Mama la mama akitaka kuja tu kama nusu saa hivi, shindilia dongo lako la kwenda (ugali wa kutosha) afu piga na hii juice , ongeza sauti ya bufa halafu sikilizia milio

Shukrani zitakuja tu baadae
Inaelekea una utaalam nayo sana mkuu😃
 
Haya asiante na hongera.

Kwa Kuongezea tu hapo inatakiwa na komamanga liwepo... mchanganyko wa komamanga na watermelon utakufanya uwe unamuonea wivu mumeo Kila muda.
 
Haya asiante na hongera.

Kwa Kuongezea tu hapo inatakiwa na komamanga liwepo... mchanganyko wa komamanga na watermelon utakufanya uwe unamuonea wivu mumeo Kila muda.
Kivip inaongeza wivu ama?
 
Shukrani sana na wale wa team kuongeza vitu kama mimi ukiweka Tangawizi na limao kidogo hapo itakuwa 🔥🔥🔥🔥

Kwa ME , Mama la mama akitaka kuja tu kama nusu saa hivi, shindilia dongo lako la kwenda (ugali wa kutosha) afu piga na hii juice , ongeza sauti ya bufa halafu sikilizia milio

Shukrani zitakuja tu baadae
Grahams Babu umeona mengi hebu tuthibitishie haya maneno😁
 
Grahams Babu umeona mengi hebu tuthibitishie haya maneno😁
Amesema sahihi huyo mjumbe, enzi za Ujana wangu nilikuwa nikitumia hiyo juice.

Ilipelekea nipewe notice ya kuhama nyumba nne kwasababu hiyo aliyoisema mtoa mada

Hadi nilipoamua kununua redio cassette ili kusaidia kupunguza malalamiko ya majirani 😜

Kweli tumezeeka sasa 🤗
 
Back
Top Bottom