Jinsi ya kutengeneza kokoto na juice

Jinsi ya kutengeneza kokoto na juice

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
weekend napenda kutengeza beats kwasababu kuu moja katika ya wiki naweza rudi nimechoka na njaa nikakosa cha kula beats zikanisev nikala nikalala

weekend hii niliamua kutengeneza kokoto

mahitaji

.Unga wa ngano
.sugar
.baking powder
.chumvi
.irick
.maji
.blueband
. mafuta

chukua unga wako wangano weka kwenye bakuri ndogo Inayotosha kukandia ngano yako.

weka ngano yako kwenye bakuri Kisha tia sukari kidogo na uweke na chumvi kidogo sana Kisha weka baking powder kiasi make sure haizidi pia utaweka mafuta kidogo sana Kisha weka maji kiasi then anza kukanda hakikisha ngano inakuwa ngumu japo mm sipendi iwe ngumu napenda iwe lain kiasi.

baada ya kuona ngano yako ipo vzr chukua ngano yako kata mabonge madogo madogo then sukuma na uchukue kisu ukate saizi ambayo wewe unapenda.

ukimaliza weka mafuta jikoni Kisha tia kokoto zako kwenye mafuta yakiwa teyari yamepata moto na hakikisha Vinakuwa na rangi kama hii

baada ya kumaliza chukua sukari na iriki weke kwenye maji maji yawe kidogo sukari iwe nyiki Kisha koroga maji yawe mazito ukiona maji siyo mazito basi weka sukari tena make sure sukari inakuwa nyingi


na baada ya hapo utaweka jikoni I ichemke lengo ni kukausha maji ukiona sukari inakaribia kuungua basi weka kokoto ulizo zikaanga Kisha pepeta utaona zinabadirika na kuaanza kuvutia

baada ya hapo zitoe weka kwenye chombo kisafi


juice unaweza tengeneza wewe unayopenda ila mm leo nimependa kutengeneza hii

mahitaji
.maziwa
.zabibu
.embe
.parachichi
.sukari
.vanila

Andaa matunda yako katika hali ya usafi Kisha brend na uchuje vizuri hakika utojutia

sio wanawake tu ndio wanajua kupika ata sisi wanaume tunajitahidi
 

Attachments

  • 20240907_113554.jpg
    20240907_113554.jpg
    543.9 KB · Views: 20
  • 20240907_114642.jpg
    20240907_114642.jpg
    1.1 MB · Views: 21
  • 20240907_114018.jpg
    20240907_114018.jpg
    744.2 KB · Views: 18
  • 20240908_123339.jpg
    20240908_123339.jpg
    607.8 KB · Views: 20
  • 20240908_142120.jpg
    20240908_142120.jpg
    432.6 KB · Views: 26
weekend napenda kutengeza beats kwasababu kuu moja katika ya wiki naweza rudi nimechoka na njaa nikakosa cha kula beats zikanisev nikala nikalala

weekend hii niliamua kutengeneza kokoto

mahitaji

.Unga wa ngano
.sugar
.baking powder
.chumvi
.irick
.maji
.blueband
. mafuta

chukua unga wako wangano weka kwenye bakuri ndogo Inayotosha kukandia ngano yako.

weka ngano yako kwenye bakuri Kisha tia sukari kidogo na uweke na chumvi kidogo sana Kisha weka baking powder kiasi make sure haizidi pia utaweka mafuta kidogo sana Kisha weka maji kiasi then anza kukanda hakikisha ngano inakuwa ngumu japo mm sipendi iwe ngumu napenda iwe lain kiasi.

baada ya kuona ngano yako ipo vzr chukua ngano yako kata mabonge madogo madogo then sukuma na uchukue kisu ukate saizi ambayo wewe unapenda.

ukimaliza weka mafuta jikoni Kisha tia kokoto zako kwenye mafuta yakiwa teyari yamepata moto na hakikisha Vinakuwa na rangi kama hii

baada ya kumaliza chukua sukari na iriki weke kwenye maji maji yawe kidogo sukari iwe nyiki Kisha koroga maji yawe mazito ukiona maji siyo mazito basi weka sukari tena make sure sukari inakuwa nyingi


na baada ya hapo utaweka jikoni I ichemke lengo ni kukausha maji ukiona sukari inakaribia kuungua basi weka kokoto ulizo zikaanga Kisha pepeta utaona zinabadirika na kuaanza kuvutia

baada ya hapo zitoe weka kwenye chombo kisafi


juice unaweza tengeneza wewe unayopenda ila mm leo nimependa kutengeneza hii

mahitaji
.maziwa
.zabibu
.embe
.parachichi
.sukari
.vanila

Andaa matunda yako katika hali ya usafi Kisha brend na uchuje vizuri hakika utojutia

sio wanawake tu ndio wanajua kupika ata sisi wanaume tunajitahidi
Kokoto hazitengenezwi. Watu wanaponda kutoka kwenye mawe makubwa au mashine zinafanya hivyo. Sijawahi ona za kutengenezwa
 
weekend napenda kutengeza beats kwasababu kuu moja katika ya wiki naweza rudi nimechoka na njaa nikakosa cha kula beats zikanisev nikala nikalala

weekend hii niliamua kutengeneza kokoto

mahitaji

.Unga wa ngano
.sugar
.baking powder
.chumvi
.irick
.maji
.blueband
. mafuta

chukua unga wako wangano weka kwenye bakuri ndogo Inayotosha kukandia ngano yako.

weka ngano yako kwenye bakuri Kisha tia sukari kidogo na uweke na chumvi kidogo sana Kisha weka baking powder kiasi make sure haizidi pia utaweka mafuta kidogo sana Kisha weka maji kiasi then anza kukanda hakikisha ngano inakuwa ngumu japo mm sipendi iwe ngumu napenda iwe lain kiasi.

baada ya kuona ngano yako ipo vzr chukua ngano yako kata mabonge madogo madogo then sukuma na uchukue kisu ukate saizi ambayo wewe unapenda.

ukimaliza weka mafuta jikoni Kisha tia kokoto zako kwenye mafuta yakiwa teyari yamepata moto na hakikisha Vinakuwa na rangi kama hii

baada ya kumaliza chukua sukari na iriki weke kwenye maji maji yawe kidogo sukari iwe nyiki Kisha koroga maji yawe mazito ukiona maji siyo mazito basi weka sukari tena make sure sukari inakuwa nyingi


na baada ya hapo utaweka jikoni I ichemke lengo ni kukausha maji ukiona sukari inakaribia kuungua basi weka kokoto ulizo zikaanga Kisha pepeta utaona zinabadirika na kuaanza kuvutia

baada ya hapo zitoe weka kwenye chombo kisafi


juice unaweza tengeneza wewe unayopenda ila mm leo nimependa kutengeneza hii

mahitaji
.maziwa
.zabibu
.embe
.parachichi
.sukari
.vanila

Andaa matunda yako katika hali ya usafi Kisha brend na uchuje vizuri hakika utojutia

sio wanawake tu ndio wanajua kupika ata sisi wanaume tunajitahidi
Kokoto zinaweza kukufanya uwe kibogoyo
 
Back
Top Bottom