Jinsi ya kutengeneza mafuta ya kula

abdirisak

Member
Joined
Jan 6, 2018
Posts
9
Reaction score
8
Hallow guyz,

Ebhana mimi ni kijana mjasiramali lakini katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana a video moja ya jamaa moja akiwa ana refine mawese kwenda mafuta haya yakina korie bila machine..

Sasa wadau kwa kipindi ile nilichoona yule bwana akifanya mandigo yake sikuwa intrested na huo ujuzi.

Sasa katika harakati za kulegeza vyuma visinikaze nikaona ni opportunity ya kupiga pesa na ule ujuzi wa yule bwana.

Mana kwa hapa nilipo kuna mawese ya kutosha na uhitaji wa hayo mfuta ya sampuli ya kina Korie na Safi zina hitajika kwa kiwango cha kutosha na bei za hizo bidhaa ni kubwa kutokana na umbali.

Sasa wadau nilichokuwa nakitaka mdau ambae ana clue yeyote na jinsi ya kurefine crude palm oil to cooking oil (korie) tupeane maarifa ili tuweze kujinasua na hivi vyuma visije kutukaza.

Note; soko lipo sio hapa tu mpaka kupeleka nchi jirani
 
Acheni hizo kwahiyo mnataka wauza maduka wakale wapi mbona mnawaharibia biashara
 
Acheni hizo kwahiyo mnataka wauza maduka wakale wapi mbona mnawaharibia biashara
Wauza maduka watapata tu mkuu kwani kinachomata kwa wachuuzi kama hao ni bei gani iko chini
 
Kama upo kwenye mawese kuna kitu kinaitwa kambili/ kandili kama sijakosea
Wanachemshaa mawese hadi yanabaki mafutaa meupee.
Nasikia ukichemsha 5ltr ya wese unapata 4ltr ya hayo mafuta meupe na saafi
 
 

Mzee ulifanikiwa ile inshu yako ya mafuta naomba unijuze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…