Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba msaada wana jf kwa anaefahamu jinsi ya kutengeneza maziwa mtindi na changamoto za biashara hii ili tuanze kufanya ujasiriamali huku pia. Thanks
ni pm nikuelekeze jinsi ya kugandisha maziwa mtindi alafu utaleta feedback kwa jf
ahsante Mama joe, pia kuna mwingine ameelekeza kua unayahifadhi hata bila kuyachemsha, so kipi ni bora kuyachemsha au kutoyachemsha!ninavyojua unachukua maziwa fresh yaliyopoa kwenye chombo chenye mfuniko. Kisha unayawekea maziwa mtindi kidogo ili kuyaletea chachu. Unafunika na baada ya siku yanakuwa mtindi. Ili kuendeleza utakapotoa huu mtindi chombo bila kuosha unatia tena maziwa na yanapata chachu na kuganda.nimefanya hivi kwa kutumia mtindi asili sio hizi azam au asas. Anayejua kutengeneza cheese kienyeji please nimesahau.
ni pm nikuelekeze jinsi ya kugandisha maziwa mtindi alafu utaleta feedback kwa jf
ni pm nikuelekeze jinsi ya kugandisha maziwa mtindi alafu utaleta feedback kwa jf
ahsante Mama joe, pia kuna mwingine ameelekeza kua unayahifadhi hata bila kuyachemsha, so kipi ni bora kuyachemsha au kutoyachemsha!
Kunywa maziwa ambayo hayajachemshwa ni hatari kwa afya. Unaweza kupata magonjwa mengi ikiwepo TB na magonjwa mengi kutoka kwa ng'ombe aliyeathirika. Nivizuri ukachemsha maziwa kwanza kabla ya kunywa au kugandisha. Usinywe maziwa mtindi yaliyogandishwa kienyeji bila kujua hali ya usafi wa aliye gandisha, ikiwepo kuchemsha.
watu hawaelewi na hubishia kuwa ile kuchacha huua vidudu. Vyakula mtaani ni hatari
huo uchachu unautoa wapi au unapatikanaje ili mtu aweze kua nao awe anaweka kwenye maziwa yanayotaka kuganda?
Naomba msaada wana jf kwa anaefahamu jinsi ya kutengeneza maziwa mtindi na changamoto za biashara hii ili tuanze kufanya ujasiriamali huku pia. Thanks
Ahsante kwa ushauri mkuu, tupo pamojaMkuu kama unaweza pata contact ya sua pale kuna wataalam wanatengeneza mtindi mzuri sana na kwa hali ya usafi, nafuatilia pia na nikiipata nitaiweka hapa