Catarina anna
Member
- Jul 26, 2019
- 14
- 7
Chukua maziwa ya mgando na utumie kusafisha uso wako kisha scrub kwa kutumia mchanganyiko wa mlozi na karoti au mlozi wa jani la chai.
Baada ya hapo fanya toning na maji vuguvugu yaliyochanganywa na kipande cha limao na weak kidogo katika taulo la pamba na futa uso wako mahali pote kasoro penye tatizo. Tumia ute mweupe ambao utakuwa umemwagia katika taulo lako na kujisugua taratibu.
Jisafishe na maji ya vuguvugu kisha fanya toning tena kama ilivyokuwa katika hatua ya tatu juu Ili kuondoa ukavu wa ngozi, kata matango na yabandike katika ngozi.
Baada ya hapo fanya toning na maji vuguvugu yaliyochanganywa na kipande cha limao na weak kidogo katika taulo la pamba na futa uso wako mahali pote kasoro penye tatizo. Tumia ute mweupe ambao utakuwa umemwagia katika taulo lako na kujisugua taratibu.
Jisafishe na maji ya vuguvugu kisha fanya toning tena kama ilivyokuwa katika hatua ya tatu juu Ili kuondoa ukavu wa ngozi, kata matango na yabandike katika ngozi.