Issue ni ukishapata followers wa kutosha, unafanyaje ili pesa ianze kuingia? Je pesa inaingia bank moja kwa moja? Vigezo gani vinatakiwa ili nianze kupewa pesa? Na je Taarifa zangu za bank account nk. Naziweka sehemu gani? Na je kuna taratibu zingine za kikanuni/kisheria za kukamlisha kama vile TRA Nk?