Jinsi ya kutoa pesa Airtel Money kwa njia ya ujumbe

de andres

New Member
Joined
Feb 17, 2018
Posts
4
Reaction score
7
Mimi ni wakala mpya wa Airtel Money, nilikuwa naomba msaada wa kuelekezwa jinsi ya kutoa hela kwa njia ya meseji, pale mteja anapokuja na kuomba kutoa pesa akiwa amepewa pin ya siri ili atoe pesa kwa wakala wa Airtel Money.
 
Huku kuna wengine sio wema, wasiliana na Airtel moja kwa moja ishu yako ipo wazi mbona?
 
Mimi ni wakala mpya wa Airtel Money, nilikuwa naomba msaada wa kuelekezwa jinsi ya kutoa hela kwa njia ya meseji, pale mteja anapokuja na kuomba kutoa pesa akiwa amepewa pin ya siri ili atoe pesa kwa wakala wa Airtel Money.
ebu mkuu nieleweshe tena kidogo
 
Fungua menu ya airtelmoney
1. *150*60/=
2.Toa pesa
3.Toa pesa kwa message.
 
Fungua menu ya airtelmoney
1. *150*60/=
2.Toa pesa
3.Toa pesa kwa message.
4.Ingiza kiasi Cha pesa mteja alichotumiwa
5. Ingiza namba ya simu ya mpokeaji
6.Ingiza Pini ya Siri ya kutolea hela kama ilivyoandikwa kwenye sms.
7 Ingiza namba yako ya Siri

Ombi lako limefanikiwa Angalia sms kiasi Cha hela kimeingia kwako mpe mteja hela yake. Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…