Jinsi Ya Kutongoza Wanawake Waliokuzidi Umri ( Majimama )

Bibi yako ndo mm niliyebakwa na babako ukazaliwa
Safi alikukojoza mara ngap, kuna bao ulichomoa daaah lile lilikuwa la mapacha, vp bado unazungusha kiuno kama Zaman?? Vp zile shanga kiunon?? Zipo
 
Hizi midterm leave za pasaka badala ya kutumia kufanya home work unaleta ujinga JF! Hopeless kabisa.
Na hizo mvua zinazoendelea hapo nyumbani tegemea utitiri wa posti za aina hii na zile zakutafuta wapenzi
 
Kuna njia mbili tu za kufanya upendwe na mwanamke,,,,ni either uwe na pesa au uwe vizuri kitandani,,,hayo mengine ni mbwembwe tu ambazo hazisaidii lolote

Uwe vizuri kitandani utapendwa?

Kwa hiyo ukikutana na jimama mtaani utam-pruvia vipi kwamba wewe ni mzuri kitandani ili akupende, utamchezea ndomboloo?
 
Wewe jamaa unapenda mteremko
 
Nimeaoma lakini sijaelewa sijui kwanini
 
Huu ujinga utaisha lini, watu wanapeleka satellite mwezini Sisi bado tunakomaa na utafiti jinsi ya kutogoza
 


Sikubishii lakini inabidi nimuulize [HASHTAG]#shilole[/HASHTAG] maana yeye ndiye anayependa watoto chini ya miaka 20 wakati mtoto wake wa kwanza yuko older than that.
 
Badala ya kutoa elimu ya ujasiriamali kwa vijana wajikwamue kimaisha unatumia muda mwingi kuelezea ubaradhuli. Kumfundisha mwanaume jinsi ya kuolewa na sugar mummy ni kukosa direction na malengo. Ungeeleza na faida za kiafya na kiuchumi kuwa na haya mahusiano. Wacha kupotosha vijana hii ni sumu unapanda kwa vijana ambao ni wepesi kuchota kila kinachoongelewa humu kwa kuhisi nawe ni GT
 
Ya nini kujichosha? Kwani mademu wengine hawapo hadi nikimbilie kwa Jimama?? U-Marioo na Slope sitaki kubabeki!!

[HASHTAG]#WanaumeWaDar[/HASHTAG]
[HASHTAG]#WapendaKitonga[/HASHTAG]
Muulizeni Mondi utamu wa majimama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…