Aisee hapo nnachokijua, baada ya kuibiwa simu yako, nenda polisi ukiwa na IMEI pamoja na risiti ya cm iliyoibiwa polisi wao wanajua chakufanya, na namna ya kuipata hiyo cm.
Aisee hapo nnachokijua, baada ya kuibiwa simu yako, nenda polisi ukiwa na IMEI pamoja na risiti ya cm iliyoibiwa polisi wao wanajua chakufanya, na namna ya kuipata hiyo cm.