hon daniel killion
Member
- Jun 29, 2024
- 7
- 8
Mwenye ujuzi jamani naomba anifafanulie jinsi ya kutums maombi ya kazi kwenye email, bado sijajua kama documents zote tunaziweka kwenye pdf moja au tunazitenganisha maana unakuta nafasi nyingine za jazi zinazotoka hawasemi kama documents zote ziwe kwenye pdf moja au vipi.
Mwenye ufafanuzi jamani anijuze.. 🙏
Mwenye ufafanuzi jamani anijuze.. 🙏