Jinsi ya kuukaribisha umasikini

kuuepuka umaskini ni kuacha kujichanganya na maskini.

maskini hao ni:
maskini wa akili na mawazo.
maskini wa sio jua kubadilisha tabia zao na mbinu ya kijikwamua.

leo kajipendekeze kwa mtoto wa bhakharesa kama utakuw maskini basi umerogwa
Mkuu umenena kweli 100%, kuambatana na maskini hakuna faida yoyote ile. Maskini ni wakuepuka kabisa wanachelewesha. Wao mawazo yao yameishia tumboni
 
Jiingize kwenye biashara ya forex
 
Jiingize kwenye biashara ya forex
 
1. Endelea kusema cryptocurrency na forex ni utapeli.

2. Endelea kutrade forex kwa kufwata nani kasema nini huko twita au insta badala ya kutumia akili yako.
Hapo umenena watu tunapata pesa nzur tu afu kanaibuka kamtu kichaa hakana elimu yoyote et fx ni kamali wakati pesa inaonekana japokuwa njia ilikuwa ngumuu ila yenyewe hayataki kujifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…