๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ฑ๐—บ๐—ถ๐—ป ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ด๐—ฟ๐—ผ๐˜‚๐—ฝ ๐—น๐—ผ๐—น๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—น๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ฑ๐—บ๐—ถ๐—ป ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ด๐—ฟ๐—ผ๐˜‚๐—ฝ ๐—น๐—ผ๐—น๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—น๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ



Najua umeshawahi kujiuliza hivi inawezekana kuwa group Admin wa Kundi lolote la Whatsapp ?

๐Ÿ•ฏ๏ธNaam inawezekana japo sio ๐Ÿ˜ rahisi kha unavyojua Sasa Leo nakuletea maujanja haya ukiyafanya kwenye simu yako ili kuwa admin kwenye group lolote lile sawa !!



๐Ÿ•ฏ๏ธIla unahitaji kidogo uwe na knowledge kuhusu coding kwenye masuala ya binary number ambazo zinahusisha namba mbili TU 0 pamoja 1



๐Ÿ•ฏ๏ธNgoja nikupe list la binary number utatumia kuwa admin wa kikundi chochote Cha Whatsapp bila ruhusa.

0 = 0 0 0 0 ,1 = 0-0-0-1,2 = 0-0-1-0
3 = 0-0-1-1 ,4 = 0-1-0-0, 5 = 0-1-0-1
6 = 0-1-1-0 7 = 0-1-1-1,8 = 1-0-0-0 na 9 = 1-0-0-1

๐Ÿ•ฏ๏ธIli kuwa admin Sasa kwanza ingia kwenye kikundi unachotaka kuwa admin kisha tafuta namba ya admin.



๐Ÿš€ Kopi hiyo namba ya admin kwa mfumo wowote ule huwe wa international au local yani ๐Ÿ‘‡
Mfano +255 655 013 250 au 0788 183 556

๐Ÿ•ฏ๏ธHiyo ni Tanzania format โœ๏ธ Sasa hapo unahitaji ku convert hizo number kutoka namba za kawaida kuwa binary number.

โœ… Mfano 0788 itakua ni 0000011110001000 na nk.ukimaliza Sasa inabidi ufanye kwenye notepad yako kisha uta paste hapa ๐Ÿ‘‰...



โ€œcng=true?=[weka namba ya admin mfumo wa binary]! [Weka namba yako mfumo wa binary ]&findchache.mnc.id=[802]ste5%Set.content?/ rfd=gvโ€

Mfano Ambapo itakua kama hivi ๐Ÿ‘‡
โ€œcng=true?=[0000011101110010001101000010000000000000]! [100100010000000000000000000000000000000000000000]&findchache.mnc.id=[802]ste5%Set.content?/ rfd=gvโ€

Baada ya hapo utachukua hiyo link nzima utaiweka kwenye kikundi ambacho unataka kuwa admin kisha utatuma.

Ukimaliza Sasa unachotakiwa kufanya ni kutoka kwenye Whatsapp yako ingia setting kwenye simu yako kisha app alafu Tafutq app yako Whatsapp clear data na cache.

Hakikisha umefanya backups za data zako baada ya hapo utafungua Whatsapp na kuandika namba yako na kuingia kwenye Whatsapp yako utaona Sasa umekua admin ๐Ÿ˜.

Natumai umefanikiwa sio ๐Ÿ’ช t
uachie maoni yako Sasa ?
 

Attachments

  • 2.png
    737.5 KB · Views: 3
Engineering haijawahi kuwa rahisi
 
Asante kwa mada
 
Baada ya hapo utachukua hiyo link nzima utaiweka kwenye kikundi ambacho unataka kuwa admin kisha utatuma.
Unatuma tu kama message ya kawaida kwenye chats?
Ukimaliza Sasa unachotakiwa kufanya ni kutoka kwenye Whatsapp yako ingia setting kwenye simu yako kisha app alafu Tafutq app yako Whatsapp clear data na cache.

Hakikisha umefanya backups za data zako
Duh,
Usumbufu mwingi huu, bora ukodi mtu akufanyie!
baada ya hapo utafungua Whatsapp na kuandika namba yako na kuingia kwenye Whatsapp yako utaona Sasa umekua admin
Ukiweza kujipenyeza kinyemela kama hivyo ukawa admin (wa mchongo), je unaweza ku-remove admin halisi?
 
iPhones hazina ku-clear data wala cac

Unatuma tu kama message ya kawaida kwenye chats?

Duh,
Usumbufu mwingi huu, bora ukodi mtu akufanyie!

Ukiweza kujipenyeza kinyemela ukawa admin (wa mchongo), je unaweza ku-remove admin halisi?
Unakua second admin ila unaweza kuondoa admin wengine sio aliyeunda group
 
Wanangu kueni macho punde si punde atalizwa mtu, nalog off
 
Watu wanapenda mambo ya magroupmagroup ๐Ÿ˜„
Wengine hatuna hata moja

Ova
 
Mafunzo ya awali ya utapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ