YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Mimi nimeshiriki interview nyingi na najua maswali ya mitego watia nia wakiwa wengi hata wajae uwanja wa taifa wakigombea nafasi moja.
Kuisaidia CCM kuchuja hao maelfu walioomba ni kazi ndogo tu na rahisi
Swali moja tu la kwanza la kuwachujia ni kuuliza matawi waliko wanapoishi wameyasaidiaje matawi hayo ya CCM kihali na mali ? Pili kwenye hayo majimbo wanayogombea wamesaidiaje Ofisi za CCM kwa hali na mali?
Wengi wameibuka tu. Wanaijua CCM kwenye kugombea tu kutafuta mishahara mikubwa na miposho ya bunge lakini kabla ya kugombea hawakuwa na mpango na CCM iwe kwenye matawi yao wanapoishi au majimbo yao. Wengine hata jina la mjumbe wao wa nyumba kumi hawamjui
Kuisaidia CCM kuchuja hao maelfu walioomba ni kazi ndogo tu na rahisi
Swali moja tu la kwanza la kuwachujia ni kuuliza matawi waliko wanapoishi wameyasaidiaje matawi hayo ya CCM kihali na mali ? Pili kwenye hayo majimbo wanayogombea wamesaidiaje Ofisi za CCM kwa hali na mali?
Wengi wameibuka tu. Wanaijua CCM kwenye kugombea tu kutafuta mishahara mikubwa na miposho ya bunge lakini kabla ya kugombea hawakuwa na mpango na CCM iwe kwenye matawi yao wanapoishi au majimbo yao. Wengine hata jina la mjumbe wao wa nyumba kumi hawamjui