Jinsi ya kuwalinda Watoto dhidi ya #COVID19

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


1: Wafundishe Watoto kuhusu #COVID19, na namna inavyosambaa pamoja na madhara yake. Waeleze bila ya kuwatisha

2: Wafundishe kunawa mikono yao kwa Maji Tiririka kwa kutumia sabuni au "Sanitizer" yenye kiwango cha kilevi kwa asilimia 60

3: Waeleze umuhimu wa kukaa mbali na watu pamoja na kuwaepuka wanaopiga chafya na kukohoa bila ya kujikinga

4: Safisha kwa kufuata maelekezo ya afya kwa kutumia sabuni au "Sanitizer" maeneo yote ambayo watoto wanaweza kugusa(Meza, viti, na vitu vingine wanavyokula)
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…