Jinsi ya kuweka mbolea kwenye shamba la vitunguu

Jinsi ya kuweka mbolea kwenye shamba la vitunguu

mnyongeni

Senior Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
141
Reaction score
24
Msaada jamani. Ninataka kuweka mbolea shambani. Sijui niwekeje. Maana washauri wejgi mmno. Nashindwa nifanye ipi iliyo bora. Kati ya
1.kumwaga kama kwenye mchicha
2.kuchimba kati ya mstari na mstari kisha kuweka mbolea
Au
3. Kufukua pembeni ya kitunguu na kuweka mbolea. Msaada please.
 
Mwaga kwenye jaruba baada ya kuingiza maji. Hakikisha maji yameshaingizwa kwenye jaruba halafu ndio umwage mbolea. Ukimwaga kabla ya kuingiza maji; mbolea hujaa upande mmoja kwasababu maji husomba hiyo mbolea kutoka upande maji yanapoingilia na kuelekea nayo upande yanakoelekea.
 
Back
Top Bottom