wataalamu wa haya mambo wamejaa kwenye NGOs zinazofadhiliwa na watu wa Marekani na sielewi ni kwa nini hawataki kuja kukujibu, au wanataka wakufuate physically ili walambe perdiem? maana wanapenda perdiem na kufoji risiti za mahotelini ni balaa utashangaa mtu ana masters na labda ndo mtaalam kiongozi lakini kwa kufoji hotel accommodation recepit haawajambo