Jinsi ya kuzuia wezi wa Tv majumbani

Jinsi ya kuzuia wezi wa Tv majumbani

delp307

Senior Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
160
Reaction score
125
  • Je umenunua TV yako ya gharama kubwa na bado unahofia wezi wanaweza kuja kukuibia TV yako.
  • Je unajua asilimia kubwa ya vitu vinavyoibiwa majumbani ni TV.
  • I-SECURE wanalo jibu ni jinsi gani unaweza kulinda TV yako.Tumekuletea kifaa kipya kitakachofungwa ndani ya TV yako na kukuwezesha kujua Taarifa muhimu. Utapata taarifa kupitia androip app.
  • Kumbuka hiki kifaa kinafungwa ndani ya TV hivyo Itakurahisishia kupata vitu vyako Kama kumetokea wizi nyumbani kwako na TV yako imeibiwa.
  • Hiki Kifaa hakitazuia wezi Kukuibia, kitakujulisha ni wapi muelekeo wa TV yako baada ya kuibiwa. Pia kinaweza kukupigia simu yako endapo TV itakumbwa na mtikisiko
  • Bei ya kufungiwa kifaa hiki ni 180,000. Pia unatakiwa kusajili laini mpya ya simu kwa ajili ya kuwekea kwenye kifaa cha GPS
+255 710 141 917 ,+255 713 416 466,
Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi.

TV Tracking.png
 
Wezi siku hizi wajanja, wakiiba wana watu wao wanawapelekea wanang'oa hicho kifaa
Ni kweli kabisa wanaweza kuwapeleka watu wao wakangoe. Lakini mpaka wafanye hivyo utakuwa ushajua muelekeo wa TV yako na pia unaweza ukaipata kirahisi sana. Kuliko kutokufunga kabisa. Pia vile vile angalia thamani ya TV yako je uko tayari kununua nyingine? Si bora uweke kifaa kitakusaidia kujua mwenendo wa TV yako.
 
Wezi siku hizi wajanja, wakiiba wana watu wao wanawapelekea wanang'oa hicho kifaa
Inaonesha last location ilikuwa wapi, mimi nilifunga bajaji yangu Kigamboni bila dereva kujua bhana... ikaja ibiwa nkawasha zangu data nkai track ikawa ipo Ubungo kuna gereji moja hivi, nikaenda polisi Urafiki pale nikachukua askari wakavamia lile eneo tukakuta bajaji sita za wizi zimebaki zinasubiri kusafirishwa mkoani na wahuni tukawadaka watatu..

Wale wamiliki wengine wa bajaj walipatikana na walinishukuru sana. Ile bajaj nkaiuza fasta Dodoma huko, ila Gps nmeitoa ninayo kwenye droo.
 
Inaonesha last location ilikuwa wap, mim nlifunga bajaj yangu kigambon bila dereva kujua bhana... ikaja ibiwa nkawasha zang data nkai track ikawa ipo ubungo kuna gerej moja hiv...
Hizi gps zinasaidia sana katika kufanikisha kujua wezi walipo. ni Muhimu sana kwa sasa wizi umeongezeka sana. Ni bora ukafunga kwa ajili ya kulinda chombo chako .Pia kwenye TV itakusaidia kupata mali yako imeenda wapi
 
Hizi gps zinasaidia sana katika kufanikisha kujua wezi walipo. ni Muhimu sana kwa sasa wizi umeongezeka sana. Ni bora ukafunga kwa ajili ya kulinda chombo chako .Pia kwenye TV itakusaidia kupata mali yako imeenda wapi
Kweli kabisa, na nilichojifunza. Ukifunga gps kwenye chombo chako wala usitangaze kwa watu.. Kuna mtu anafunga gps kwenye bodaboda au bajaj au tax yake halaf anamwambia dereva kibarua kuhusu kuwepo kwa gps.... Dereva yupo kijiweni anaanza kujitapa kwa wenzake kuwa chombo ina gps wezi hawaibi hii
 
Kweli kabisa, na nilichojifunza. Ukifunga gps kwenye chombo chako wala usitangaze kwa watu.. Kuna mtu anafunga gps kwenye bodaboda au bajaj au tax yake halaf anamwambia dereva kibarua kuhusu kuwepo kwa gps.... Dereva yupo kijiwen anaanza kujitapa kwa wenzake kuwa chombo ina gps wez hawaibi hii
Ila pia michongo mingi ya wizi inaanzia kijiweni. Ukishajitapa kuhusu gps, wanakulia timing tu. na wameshakuwa na uhakika kuna gps mule ndani, Wanachofanya wanakula mchongo na mafundi wao kwa ajili ya kutoa hiko kifaa
 
Kitu chochote kisicho zuia huwezi funga kwa bei kubwa hiyo. 180,000 ni TV nyingine tu
 
Inaonesha last location ilikuwa wap, mim nlifunga bajaj yangu kigambon bila dereva kujua bhana... ikaja ibiwa nkawasha zang data nkai track ikawa ipo ubungo kuna gerej moja hiv, nkaenda polis urafik pale nikachukua askar wakavamia lile eneo tukakuta bajaj sita za wizi zimebak zinasubiri kusafirishwa mkoan na wahun tukawadaka watatu..
wale wamilik wengine wa bajaj walipatikana na walinishukuru sana
Ile bajaj nkaiuza fasta Dodoma huko, ila Gps nmeitoa ninayo kwenye droo
Kampuni gani walikufungia gps?
Ninataka kufunga kwenye chombo changu cha usafiri.
 
Back
Top Bottom