Ili kuongeza probability yakupata mtoto wa kiume unatakiwa usex siku ambayo ovulation inatokea,sasa utajuaje siku ambayo ovulation inatokea??
Fanya hivi;
-Kwakuwa mzunguko wako ni wa siku 26/27,siku ambayo ovulation inatokea itakua ni siku ya 12/13,kwasababu 26-14=12/27-14=13
ZINGATIA
-Usisex siku 4-5 kabla ya hiyo siku ya 12/13