Jinsi Yesu kristo alipozungumza na mimi zaidi ya miaka kumi iliyopita

Bila ushahidi hususan picha,, huu Uzi ni batili
 
Hivi huu ujasiri wa kudanganya watu mnatoaga wapi, ujue kuna watu mna vipaji aisee,, Mungu ana mabilioni ya watu duniani aje kupiga stori na mla ndumu daah!!
 
Huo ni ukweli wangu mtupu sijaandika nipate faida Kwa yoyote
 
Zumaridi everywhere
Hivi hawa watu wangekuwepo kweli dunia si ingekuwa mahala salama hakuna magonjwa,vita,umaskin,mafuriko,tetemeko la ardhi,
Kuna vitu vingi hii dunia vinasikitisha na vinaumiza sana ,kuna
muda mtu lazima ufikirie
Yesu awatokee nyie tu asiende kuponesha watu hospital,vilema wakatembea,vipofu wakaona dunian ikawa raha tu
 
Ivi huu ujasiri wa kudanganya watu mnatoaga wapi, ujue kuna watu mna vipaji aisee,, Mungu ana mabilioni ya watu duniani aje kupiga stori na mla ndumu daah!!
Huyo huyo Mungu unaye msemea ndio aliacha kuongea na maelfu ya waisraeli waliokuwa wanapitia mateso misri akaja kuongea na Musa muuaji aliyekimbia, aliacha kuongea na maelfu akaja kuongea na Sauli (aliyekuja kuitwa Paul) muuaji na mwenye kiburi.
Sio kila mtu kapewa nafasi ya kuisikia sauti ya Mungu moja kwa moja ila wapo watakao isikia.

NB: simaanishi kuwa alichokishuhudia ni ukweli au uongo
 
Jua kuwa Yesu yupo ,na utakutana nae one day
 
Aliongea na manabii na watu mbalimbali Iko waz lakin sio sasa bhna,, uongo,,, huo ni uongo bhaana
 
Nashangaa sijui kwanini watu wanasema ni uongo,
Hayo yaliyosemwa yanawezekanabasilimia 100.
 
Masuala ya ndoto Kwa 100% huwa ni uongo na shibe
 
Aliongea na manabii na watu mbalimbali Iko waz lakin sio sasa bhna,, uongo,,, huo ni uongo bhaana
Zamani ndo alikuwa anaongea Ila baada ya Yesu Kufa msalabani na akafunga kitabu cha biblia , means maagizo yote na taratibu zimo kwenye bible na kama Una shida omba direct , tangia hapo masuala ya ndoto aliachiwa shetani na wafuasi wake kuwasiliana Kwa njia hyo... Mtu yyte akikuambia ameoteshwa
mara adai ameenda mbinguni jua ni uongo mtupu
 
Amina, Yesu yupo na ni halisi. Umepata Neema ya kumjua na kusikia "sauti yake laini na tulivu" endelea kumsihi kuwa E baba jifunue kwamgu kama ukivyojifunua kwa Musa ili nami kama nimepata kibali machoni pako niuome uso wako. Nashuhudia usiku huu, kupitia maombi hayo. Nilimuona na kuuoma uso wake mwenyw haki mtakatifu na mzee wa siku.

Mungu akutie nguvu katika njia uliyoichagua.
 
Hahaaaaaa, jamaa una makasiriko kweli. Huyo Yesu wako ni mfu lakini wetu sisi anasema hadi sasa na anajifunua kwa watu wake. Wewe kama Mkristo na unaishi maisha ya utaua. Nakushuhudia leo mkuu ukimuomba ajifunue kwako anajifunua na kusema nawe. Nina ushuhuda na kushuhudia usiku huu kuwa anasema na anajifunua kwa wajoli wake.
 
Unajidanganya....!! Huwa unaonge na mapepo instead..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…