Jinsia mbili kwa Mwanamke

Uyo dem alikuwa na makende( ma***mbu) km hakuwanayo,hana madhala
 
Mungu hawezi kuumba mashoga ila anaweza kuumba binadamu mwenye uume na uke kwa pamoja. Wenye dini zenu mnaliongeleaje hili
 
basi utakuwa na roho ngumu kinoma
Hicho ni kilema sawa na vilema vingine tu uzuri ana k na matiti means feminine feature ndo zimetawala huyo ni mwanamke kama wanawake wengine,atapigwa pini zuri mpaka aogelee kwenye maji yake mwenyewe, na ata tritiwa kama wanawake wengine tu ,hakuna cha roho ngumu hapo boss .
 
Unamshukuru Mungu kwa uumbaji wake huna namna mazee!

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Hermaphrodite wanaitwa hivyo. Ni hali ya kiumbe kuwa na viungo vya uzazi aina mbili.
Huntha, tunao mtaani japo Ni Siri za familia, Kenya wamecreate awareness Sana, sisi bongo bado Siri za familia. Kenya kuna mpaka mchungaji na muimbaji wa hiyo hali.
Ulaya iko open kabisa

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mimi bado nawaza hio anatomy yake hapo chini kua na pussy na dick znakua zmekaaje proximity yake na zile kengele amening'inizia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…