Jionee Hapa! Utata kiapo cha MC Pilipili akifungishwa Ndoa na Mena Kanisani, "Kwa shida na raha" aliikataa Madhabahuni

Jionee Hapa! Utata kiapo cha MC Pilipili akifungishwa Ndoa na Mena Kanisani, "Kwa shida na raha" aliikataa Madhabahuni

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
MC Pilipili alizua maswali mengi wakati wa sherehe yake ya ndoa na Mena Kanisani Juni 29, 2019 alipokataa sehemu ya kiapo cha ndoa kilichohusisha maneno "kwa shida na raha" madhabahuni.

Kukataa kiapo muhimu katika muktadha wa ndoa ya Kikristo, ambacho kinasisitiza uvumilivu katika changamoto za maisha ya ndoa, kumeonekana na baadhi ya watu kama ishara ya kutokuwa tayari kukabiliana na magumu ya ndoa.

Soma: Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Kitendo hicho kilikuwa kinyume na maadili ya ndoa ya Kikristo, ambayo huhimiza uvumilivu na mshikamano katika hali zote.
Je, hili linaweza kuwa miongoni mwa sababu zilizochangia kuvunjika kwa ndoa yao?
 
Aisee!!!!!!
Alileta mzaha madhabahuni
Hii inanikumbusha mwanazuoni mmoja kutoka Clarksdale Mississippi akiitwa William Leonard Roberts Ii kwenye andiko lake la kimuziki alisema " If you get in trouble ,that just mean you fuckin up"
So this nigga fucked up then he pretend to be philosopher
 
MC Pilipili alizua maswali mengi wakati wa sherehe yake ya ndoa na Mena Kanisani Juni 29, 2019 alipokataa sehemu ya kiapo cha ndoa kilichohusisha maneno "kwa shida na raha" madhabahuni.

Kukataa kiapo muhimu katika muktadha wa ndoa ya Kikristo, ambacho kinasisitiza uvumilivu katika changamoto za maisha ya ndoa, kumeonekana na baadhi ya watu kama ishara ya kutokuwa tayari kukabiliana na magumu ya ndoa.

Soma: Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Kitendo hicho kilikuwa kinyume na maadili ya ndoa ya Kikristo, ambayo huhimiza uvumilivu na mshikamano katika hali zote.
Je, hili linaweza kuwa miongoni mwa sababu zilizochangia kuvunjika kwa ndoa yao?
Nyakati ambazo hakutaka kuwa pamoja na mwezie ndio hizo ambazo mwenzie kaondoka
 
Aisee!!!!!!
Alileta mzaha madhabahuni
Hii inanikumbusha mwanazuoni mmoja kutoka Clarksdale Mississippi akiitwa William Leonard Roberts Ii kwenye andiko lake la kimuziki alisema " If you get in trouble ,that just mean you fuckin up"
So this nigga fucked up then he pretend to be philosopher
Kweli kabisa, alifanya mzaha mahali pasipofaa, madhabahuni ni mahali pa heshima.
 
Ndoa za kihuni tu hizo na mara nyingi hizi hufungishwa kwenye makanisa ya mabati wahuni walikojipachika vyeo vya utume unabii sijui upasta,KKKT Anglican na Catholic huwezi kuta ujinga huu.

Ukimsikiliza hapo anajaribu kukataa asili ya maisha aliyoyaweka Mungu,hakuna maisha bila shida hakuna maisha bila maradhi hivyo ni vitu vipo tunaishi navyo,makanisa niliyoyataja hapo juu mmoja ktk washiriki wa ndoa akishakuwa amesita kujibu namna kiapo kinavyotakiwa ndoa inaahirishwa but hapo ilikuwa bora liende.
 
😂😂😂😂😂kubabenga kama mazuri vile ................sasa hana pa kwenda kushtaki maana yeye alikuwa wa raha ndio maana shida zilipotokea mtoto kasepa mazima........hapa hata mwenyezi mungu hawezi kukupa msaada maana ulimbagua kwenye kusema ukweli
 
Hichi kipengele cha KWA SHIDA NA RAHA bora kiondolewe tu ikiwa wanandoa wenyewe wanataka raha tu shida hawataki
 
Duh kama ni padre hapo anakukoa bonge moja kwenzi na ndoa inaishia hapo hapo

Huenda watani zangu wagogo wakawa hawana akili timamu
 
Hakuna kitu MWENYEZI MUNGU huwa anafanyia kazi kwa wepesi kama utani utani
 
Back
Top Bottom