Jionee mwenyewe honda ilivyo fichwa

maprofessa nao wamezidi kutunga paper ngumu mno wanasahau ulimwengu wasahiv n wakisharobaro zaidi so kama wa enzi zao
 

chezea sapu wewe...
 


Halafu kama hizi ndiyo A za uchumi walizopata Nchemba M. ni kwa nini asiwe mchemfu tu!!! Eti first class, unafikiri mchezo!!! Halafu eti ya uchumi!!! Desa lilikusaidia eti na usijidai. Kama ana first class ya uchumi amekisaidiaje chama chake kinachozama na umaskini tele wa watanzania?? Stuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu p ppppppppppppppppppppppi ddddddddd.
 
Ndio wanaosaini mikataba mibovu. Badala ya kupitia kwa kina mikataba kabla ya kusaini wao wanadanganywa na mvinyo ya zamani kwenye chupa mpya
 

Hawa ndio baadae wanaokuja kutamba kuwa wao ni 1st Class Economist kama yule jamaa yetu wa Mjengoni
 
Hawa ndio baadae wanaokuja kutamba kuwa wao ni 1st Class Economist kama yule jamaa yetu wa Mjengoni

Naona hata 1st Class ya Mwigulu Nchemba ilipatikana kwa njia hii
 
Hilo nondo linakuwa limeandikwa upande mmoja tu kiasi kwamba halihitajiki kugeuzwa? Mpiga picha yeye hana mtihani, manake muda unaenda wakati yeye anakusanya habari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…