Yah ni kweliKuna mtu aliwahi kuniambia chipsy zege ni ubunifu wa tz pekee na ukiukuta kwa majirani ujue wameiga bongo. Kumbe na sisi tuna mengi ya kujivunia
Mkuu mzigo utalipa Kodi kulingana na watu wa Kodi watakavyouona mzigo wako au receipts ulizo nunulia mzigo wakati mwingine kulingana na ukubwa wake so Itategemea utapakutaje border1.Kwa mfano nimechkua mizigo ya aina 3 yan labda nguo spacial,viatu viatu spcial na balo 2 za mtumba wa nguo za watoto je mzigo huu kodi yake inakatwa kwa pamoja au mbali mbali
Asante sana MkuuIla tusilaumu sana jamani sio kila mtu anajua fasihi ya kuandika,sio wote tunaowauliza kwamba hawana kazi zingine za kufanya kwamba muda wote wapo humu,tunachotakiwa kukifanya ni kuandika maswali na kuyaacha,ukirudi utakuta wajuzi washakujibu na tushkuru tu hawa tunaowauliza akiwemo mtoa mada kiukweli ni watu wastaarabu sana aisee naamini Mungu atabariki biashara zao na mambo yao.
Tuulize sana jamani tusitegemee kuna mtu atakuletea li'artical la page 2 humu akuelezee khs uganda. Uliza jibu utakalolipata unajiongeza pia.
Kuhusu urahisi wa bei Inategemea Unafata nini Uganda mfano kuna chupi Nimeiona Uganda bei ni sawa na kkoo lakini kuna chupi hazipo Kkoo Uganda zipoNimefatiliaaa comment zote kuanzia mwanzo,, tafadhari kwa alietoa uzi napenda kujua mfano minipo Kanda ya Kati singida je ninaweza pata bidhaa yenye unafuu wa Bei kuliko ukichukulia DAR
Kuwa muwazi nasi tunaohangaika jinsi ya kupata wazo la biashara gani tufanye inaweza ikawa mwanya wakufunguka na kuanza biashara kutokana na urahisi wa Bei pamoja na ubora wa bidhaa zinazopatikana UGANDA,natanguliza shukrani Kaka funguka nasi tuweze kupata ajira
Biashara gani hasa watanzania wanazifata ugandaKuhusu urahisi wa bei Inategemea Unafata nini Uganda mfano kuna chupi Nimeiona Uganda bei ni sawa na kkoo lakini kuna chupi hazipo Kkoo Uganda zipo
na Kama upo Singida ujue Nauli ya Ug kubwa kuliko DAR ila faida ya Uganda faida unaiona kuanzia unapochenji pesa kama ulikua na 450000 tz ujue Ug una 700000
Kuhusu urahisi wa bei Inategemea Unafata nini Uganda mfano kuna chupi Nimeiona Uganda bei ni sawa na kkoo lakini kuna chupi hazipo Kkoo Uganda zipo
na Kama upo Singida ujue Nauli ya Ug kubwa kuliko DAR ila faida ya Uganda faida unaiona kuanzia unapochenji pesa kama ulikua na 450000 tz ujue Ug una 700000
Ikiwa nimeshafunga mzgo labda wa mil3 je natakiwa niwe na akiba ya shngap ya tra pale border ili mzigo upite?
Maswali ya msingi sanaa, nashangaa watu wanakoma na chips, chapatiii na nusu uchi....Naskia pia ukitoka na hiliki/Iriki Tz kule inalipa sana,mwenye info zaidi amwagike kdg hapa wakuu tusaidiane.Unajua inakuwa vyema sana kama unatoka huku na cargo na unarudi na cargo.Au ni bidhaa gani nyingine ambayo wao kule wanaitafuta?
Ngoja waje wakupe muongozo πMaswali ya msingi sanaa, nashangaa watu wanakoma na chips, chapatiii na nusu uchi....
Futuhi raha sanaa....
Wazoefu mnatuchangaya kdg.....
Mara tukiongea kiingereza tutaonekana wa kuja tutapigwa......
Tukiongea kiswahili tutaonekana wajeshi tutachukiwaaa.......
Sasa tuongee lugha gani?
Utaanza kukariri lugha yote ya biashara?
Maana mpk sasahv mm najua tuu
Lukumi=1000,
Mtwaro = 10,000,
sebo=mwanaume...
Na sijui km yatafikisha kesho, labda hio lukumi,
Nyie mmetumia lugha gani?
Ukiniambia kiingereza bora nikatafte washkaj zangu waliopo kule nizunguke nao,
maana ku bargain kwa ngwengwe nikipajii....
ukizidiwa utaishia kusema anyway kila bei unayotajiwa...
Unarudi bongo una faida ya buku...
Sitaki yanikute km ya jamaa yng aliendaga china kibiashara,
alooooo......
Hembu tutoeni utata,
Sasa lugha zote shida, Tukaongee kisambaa kampala?
Mjibu na hilo swali la mshkaj hapo nililo li quote 'ni bidhaa gani sisi tunaweza toka nazo huku na kwenda kuuza kule?'
Mkuu unasaliti uzi mkuuπππππNgoja waje wakupe muongozo π
Mkuu unasaliti uzi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]