70% ya akili za mwaAfrica zimegubwa na fikra za kidini uchawi vitisho lamli nk ziko mbali sana na 'pragmatic science'.....UKITAKA KUMFICHA MWAFRIKA MWEKEE UJUMBE KWENYE KITABU
View attachment 1400144
Hii ni makala nimeiona kwenye status ya mtu whatsapp nikaamua kujioa uafrika na kuisoma.
Kama utaisoma njoo ulete mrejesho tu au uulize kitu ambacho hujaelewa
Ngoja nione ni wangapi wataisoma[emoji848]
Sitaki kuongeza chochote isome mwenyewe hapa
https://www.jw.org/finder?wtlocale=SW&srcid=jwlshare&prefer=lang&docid=102005922
Uko sahihi kabisaaa..70% ya akili za mwaAfrica zimegubwa na fikra za kidini uchawi vitisho lamli nk ziko mbali sana na 'pragmatic science'.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mnakuwa Popoma hivi Unaona hapo kuna ukwei..Tangia corona imetokea kila mtu / anakuja na story zakusadikika Mara movie flani Mara kitabu flank....mbona kuhusu dawa mnakaa kimya.
Tutoleeni umefi hapa
Mashahidi wa Yehova katika ubors wao
Sasa mimi nimekosoa nini?Bora mngesoma kwanza kisha muone aliesema ni nani?
Akili zenu ni zege mana mnakosoa kitu ambacho hamjakisoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekosea kutaja alietabiri,umesema ni mashahidi na ni wataalamu wa afya.Sasa mimi nimekosoa nini?
Naamini ungeanzia Afrika ungewatafuna wote ndio akili ya kujikinga ije mana mngekimbilia kwa waganga mkijua mmelogwa,kumbe mambo ya kawaida tuHuu ugonjwa ungeanzia Africa kusingekuwa na haya makandokando maana kila kukicha zinakuja story za kubahatisha za Kwenye kahawa...
Kila mtu anasema lake ilimradi siku ipite
Na wasabatoMashahidi wa Yehova katika ubora wao
Sasa mkuu huoni kama wewe ndiye ambaye uko too judgemental...kwa nini unadhani nimewataja negatively?Umekosea kutaja alietabiri,umesema ni mashahidi na ni wataalamu wa afya.
Mbona mm nimesoma bila kuangalia itikadi yangu,kwann waafrika hapendi kudadisi mambo? Ukipewa kitu kabla ya kujua faida na hasara yake unaanza kumtukana aliekupa?
Uko sahihi kabisaaa..
Leo kuna picha inazunguka Kwenye mitandao ikionesha kichwa cha treni kimeandika COVID-19 wenyewe wanadai hiyo treni ilikufa tokea mwaka 1956 lakini ilitabiri kuhusu Corona.
Yaani ni UJINGA mwingi Tu umewajaa wabongo