NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
wewe andiko lako umewaletea waafrica na unajua kabisa waafrica hawapendi kusoma.lipeleke huko kwa wanaopenda kusoma huko italy na spain.msitutishe na vi pripaganda vyenu vya corona kila muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakosea sana jarida la vaccine lililokunuliwa ni la kitaaluma si chapisho la MashahidiMashahidi wa Yehova katika ubora wao
Wabongo mnapenda kudandia dandia vi makala vya uongo na ukweli ili mradi tu uonekane na wewe ulisoma kitu fulaniUKITAKA KUMFICHA MWAFRIKA MWEKEE UJUMBE KWENYE KITABU
View attachment 1400144
Hii ni makala nimeiona kwenye status ya mtu whatsapp nikaamua kujioa uafrika na kuisoma.
Kama utaisoma njoo ulete mrejesho tu au uulize kitu ambacho hujaelewa
Ngoja nione ni wangapi wataisoma🤔
Sitaki kuongeza chochote isome mwenyewe hapa
https://www.jw.org/finder?wtlocale=SW&srcid=jwlshare&prefer=lang&docid=102005922
Unakosea sana jarida la vaccine lililokunuliwa ni la kitaaluma si chapisho la Mashahidi
Wewe ni mzungu wa nchi gani?Umekosea kutaja alietabiri,umesema ni mashahidi na ni wataalamu wa afya.
Mbona mm nimesoma bila kuangalia itikadi yangu,kwann waafrika hapendi kudadisi mambo? Ukipewa kitu kabla ya kujua faida na hasara yake unaanza kumtukana aliekupa?
Mbona unabii kuhusu korona umeibuka baada ya korona yenyewe kutokea? kwa nini msingeuleta angalau miaka 2 kabla...
Kwani TB Josiah anasemaje kuhusu hili? Au hakulitabiri?UKITAKA KUMFICHA MWAFRIKA MWEKEE UJUMBE KWENYE KITABU
View attachment 1400144
Hii ni makala nimeiona kwenye status ya mtu whatsapp nikaamua kujioa uafrika na kuisoma.
Kama utaisoma njoo ulete mrejesho tu au uulize kitu ambacho hujaelewa
Ngoja nione ni wangapi wataisoma🤔
Sitaki kuongeza chochote isome mwenyewe hapa
https://www.jw.org/finder?wtlocale=SW&srcid=jwlshare&prefer=lang&docid=102005922
Kwani TB Josiah anasemaje kuhusu hili? Au hakulitabiri?
Naskia ni nabii mtabiri matukio yaliyo kwishatokea
Tatizo ni ninyi mnao jiona wasomi halafu hamna tafakari yeyoteUko sahihi kabisaaa..
Leo kuna picha inazunguka Kwenye mitandao ikionesha kichwa cha treni kimeandika COVID-19 wenyewe wanadai hiyo treni ilikufa tokea mwaka 1956 lakini ilitabiri kuhusu Corona.
Yaani ni UJINGA mwingi Tu umewajaa wabongo
Naskia ni nabii mtabiri matukio yaliyo kwishatokea
Tatizo ni ninyi mnao jiona wasomi halafu hamna tafakari yeyote
Msomi aliye elimika kisawasawa lazima aamini kwamba kuna maisha nje ya elimu yake ya kukalili.
Hivyo kila jambo lililo nje ya elimu yake linapo zungumzwa au kutokea hutumia mda kulitafutia usahihi kwa namna anayo ona itamsaidia na sio kukimbilia kuita wengine wajinga eti kisa tu asicho kiamini yeye wengine wanakiamini
nadhani ukitizama american got talent ujifunza kumbe nje ya elimu ya darasani kuna mambo mengine yapo nje ya hapo
huyo huyo mkuuAu ni yule aliemwambia Lowasa anashinda uchaguz? Kama ni huyo ni tapeli tu
Sent using Jamii Forums mobile app