Biashara huria mkuu kima mtu anahaki yakununua pale anako ona pana mfaa ila kwahiyo 800k haijawahi na haitawahi kuuzwa otherwise iwe ya wizi kuna mteja kama yupo online ata koment hapa alikuja nika mpa bei ya mwisho takayo muuzia ila azunguke kariakoo kote akipata chini ya hapo arudi nayo wala sita chukia na akaja sa tisa tukamuuziaMkuu hebu tafakari bei hako upyaaaa.. Hiyo TCL ni bei hiyo kweli.. wakati hata 800k tu unapata
Kama nahitaji kweli bei ganTakupunguzia kama unahitaji kweli
Ilikua nini mkuu samahaniKama nahitaji kweli bei gan
Mkuu nimepitia uzi wako vizuri coz nahitaji.. na kuna moja umeweka bei 900k na kitu nchi TCL nchi 43.. sasa hiyo ya 1.8M ni ipi.. ndio mana nikauliza hiyo beiBiashara huria mkuu kima mtu anahaki yakununua pale anako ona pana mfaa ila kwahiyo 800k haijawahi na haitawahi kuuzwa otherwise iwe ya wizi kuna mteja kama yupo online ata koment hapa alikuja nika mpa bei ya mwisho takayo muuzia ila azunguke kariakoo kote akipata chini ya hapo arudi nayo wala sita chukia na akaja sa tisa tukamuuzia
Tcl sijawahi uza zaidi ya 1m mkuu we umejipanga nangap njo shop tutakuuziaMkuu nimepitia uzi wako vizuri coz nahitaji.. na kuna moja umeweka bei 900k na kitu nchi TCL nchi 43.. sasa hiyo ya 1.8M ni ipi.. ndio mana nikauliza hiyo bei
Ilikua hiyo Smart ya TCL nch 40.. nikaona tangazo lingine 900k linginge ukawa umeweka 1.8M the same TV ndio mana nikashtuka.. mana kwa 40 nchi hiyo hata kama ni LG au Sumsung haijafika 1.8MTcl sijawahi uza zaidi ya 1m mkuu we umejipanga nangap njo shop tutakuuzia
nilikosea ku type mkuu sorry nimeiona nimerekebishaIlikua hiyo Smart ya TCL nch 40.. nikaona tangazo lingine 900k linginge ukawa umeweka 1.8M the same TV ndio mana nikashtuka.. mana kwa 40 nchi hiyo hata kama ni LG au Sumsung haijafika 1.8M
ok nitakuja bado nafanya uchambuzi kati ya hiyo au Hisense.. japo pia najipanga zaid nichukue za makampuni makubwa.. mana hizi ambazo sio smart hazina raha tenaTcl sijawahi uza zaidi ya 1m mkuu we umejipanga nangap njo shop tutakuuzia
Nitakutafuta kuanzia tarehe 224k hiyo mangi we unahitaji ipi boss
Nilikosea ku type mkuu hakuna tabu we ukiwa tayari utanichekNitakutafuta kuanzia tarehe 22
Hii hapana hata kuiona sijawahi nisiwe mwongo chukua home theaterHii kitu cha Sansung naweza kupata?
Mini system
600 W
CD &DVD HIFI
Bluetooth
GIGA Sound Blast
Crystal Sound
Football Mode
Dual USB
FM Radio
TV sound connectView attachment 874408