INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

wadau ivi nikweli asilimia kubwa ya smart tv na deki zetu hizi huwa hazina uwezo wa kusoma flash ya uwezo wa 64gb kwenda juu?
note: flash ambazo ni ORIGINAL.
mana nimetest kuanzia 8gb mpaka 32gb zinasoma ila 64gb ,128gb chenga ila kwenye subwoofer mp3 zinasoma.
mwenye kujua kiundani kuhusu hili wadau?
 

Una uhakika gani hizo flash drive ni genuine? Nyingi za ukubwa huo ni kanyaboya.
 
TCL Hawana Normal wana Smart Pekee

Hisense Normal Frameless 395,000
LG Normal bei 485,000
Sony Normal bei 490,000
Samsung Normal bei 485,000
Hisense normal nch 43 same technology ni bei gan? Pia naeza pata yenye technology ya Qled?
 
nahitaji machine ya kuchaji betri za magari/pikipiki, yenye uwezo wa kuchaji betri zisizo punguwa 10
 
Mi ningependa kujua bei za lg oled tv kama unazo boss.
 
Hii unapewa na warranty?? Duka liko wapi??
Ndio tupo Uhuru na sikukuu jirani na JD Phamarcy pia tuna duka Kariakoo Msimbazi jirani na DDC Social Hall wewe tu ukaribu wako wakufika upo duka lipi
 
🪐LG Side by Side Refrigerator | Inverter Linear Compressor | Multi Air Flow | Smart Diagnosis
  • 668 Litre Capacity38
  • Quick & Handy Non Plumbed Ice & Water Dispenser
  • Matte Black Finish
  • Moisture Balance Crisper
💶Price 3,200,000

✈️ free Home & Office Delivery

📲Whatsapp & Call 0672 85 24 15
📱Call 0767 00 48 38



 
#13Kg Top Loader Washer| Smart Inverter Motor | Smart Motion | TurboDrum
Price 1,135,000

  • Smart Inverter Motor
  • TurboDrum™
  • Punch +3
  • Smart Motion
  • LoDecibe
Free Home & Office Delivery
Whatsapp Call 0672 85 24 15


 
Mkuu mtu unaweka harddisk yenye gb1000 (1TB) kwenye tv inafanya kazi vizuri ije kua flash ya 64 duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…