Emmanuel nemes
JF-Expert Member
- Nov 20, 2016
- 892
- 654
Poa mkuu, nitakuja kuchukua kama vp nipatie no yko na map kamili ya mahali ofc ilipoMr nimekufanyia 580,000 unaona nakuuwa laiti ungejua faida inayo patikana ungekuwa na huruma mm takushushia kumi tu kama utashindwa itakua sio ridhiki yangu
0672852415 tupo Kariakoo msimbazi Azania benk underfloorPoa mkuu, nitakuja kuchukua kama vp nipatie no yko na map kamili ya mahali ofc ilipo
speaker ya gari bajaj pia
Watt 300
Price 195,000
Speakers na bei zake hizo mkuuwatt 300
Price 195,000
Hizo[emoji115]Mkuu Nina shida na speaker / woofer za gari full nipe picha zake na garama zake
Pamoja sana mkuu.0672852415 tupo Kariakoo msimbazi Azania benk underfloor
Huna za aina nyingine mkuu?na bei zake kama zipoBrenda og lita 1 nanusu full set
Price 85,000 tu
Huna za aina nyingine mkuu?na bei zake kama zipo
Ndio mkuu ww tuDuu Za ukweli