INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

Basi ukizileta tupia tena kwani sio hizi
Hizi blender zakawaida zile zinachuja sahiv zimekuwa ghali na walizonazo wanauza 400k bora uchukue hizi za kawaida tu bei nafuu na imara pia
 

Subwoofer only in one single inajitegemea
Mziki wa maana kabisa hauna haja yakuwa na spika nyingi
Price 250000
 

Samsung home theatre watt 300
DVD player full HD
Price 380000
 

Home theatre Sony dz 350
Watt 1000
Dvd player full HD
Spika ndogo tano
Price 650,000
 

Home theatre Sony dz 650
Watt1000
Dvd player full HD
Spika ndefu 2 ndogo 3
Price 780,000
 

Home theatre sony dz 950
Dvd player full HD
Watt 1000
Spika ndogo 1 ndefu 4
Price 980,000
 
Njoo Msimbazi kariakoo ukifika Azania benk underfloor nipigie utafika bila was
Mkuu naulizia cable gani naweza kuunganisha kutoka tv kwenda home theater ili nisikie sauti ya tv kupitia home theater(Sony home theater system)
Maana yake nataka nitumie speakers za home theater system badala ya speakers za tv hasa ninapokua natazama tv programs.

Nambie kama una cable zozote za kazi hyo.
Cable za kawaida (HDMI na waya za kawaida) haziwi supported.
 
Tumia av waya 2 kwa 1
 
Tafuta Digital Optical Cables... jamaa niliwahi kumuulizia akasema hana. Ila nadha ukienda game zitakuwepo. Mie najipanga kwenda game. Japo najua bei zao zipo juu
 
Tafuta Digital Optical Cables... jamaa niliwahi kumuulizia akasema hana. Ila nadha ukienda game zitakuwepo. Mie najipanga kwenda game. Japo najua bei zao zipo juu
Optical cable kuna Jamaa nilimwaguzia hajaja kuichukua na niliilipia kama niww njoo na 40000 ilitoka Zanzibar
 

Mashine zakunyolea usede from UK mashine imara kabisa hazina shida yoyote na zakisasa unapata full box
Price 98500
 

Optical cable kwa anae ihitaji please kuna alinipigia cm ana itaka nikaagiza kwa Jamaa Zanzibar ikaja naona kimya
 
Generator maarufu kama invertor generator zinapatikana hapo?
 

Microwave Samsung new model digital
Warrant 10 years unapata na warrant card
Price 390000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…