Amani mfaume
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 3,275
- 1,412
- Thread starter
-
- #1,381
Lg 400,000Mkuu flat screen nchi 24 pesa ngapi!!?
Hapana boss labda nikipata muda takuuliziaUna viti vinavyowekwa kwenye ofisi kwa ajili ya wageni ila vya watu wawili vilivyoungana?
Sent using Jamii Forums mobile app
0672852415Mkuu kkoo mnapatikana wapi leo Nipo njiani nakuja kuchukua LG tv and home theater
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipigie mkuu 0672852415 ukifika msimbazi Azania benki nicheki jMkuu kkoo mnapatikana wapi leo Nipo njiani nakuja kuchukua LG tv and home theater
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari Mkuu Nahitaji Simu Ya Oppo A37 Naweza Pata Kwa Kiasi Gani? Ahsanteh
Mkuu labda ulikosea hakuna siku Namba zangu zinakosekana Jana japo nilikua mnazi moja kwenye mambo ya vyuo ila kila alie nipigia alinipata wenye kuchukua bidhaa walichukua mkuuMkuu Jana nimekuja hapo msimbazi kkoo Amana bank nikapiga namba yako haipatikani.
Leo nikipata Muda takuja tena.
Ila nataka smart TV inch 32 Sony.
Bei gani mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app