Jipatie kuku bora wa kienyeji kwa bei nafuu

Jipatie kuku bora wa kienyeji kwa bei nafuu

Joined
Sep 19, 2012
Posts
21
Reaction score
8
Wadau heshima kwenu,
Nauza mitetea wa kienyeji waliofikia umri wa kutaga kwa bei ya shilingi 17000 kila mmoja. Wana maumbo makubwa na wanafaa kwa kufuga au kwa nyama. Nipo Tabata, lakini naweza kukuletea popote Dar es salaam kama ukichukua kuanzia 10.
Vile vile wapo majogoo wakubwa kwa ajili ya nyama kwa shilingi 25000.
Namba yangu ya simu ni 0658314811
 
Mkuu tajirisana nimeshindwa ku-upload picha hapa. Kama hutojali nipatie namba yako pm nikutumie whatsup
 
Back
Top Bottom