Kweli biashara ngumu, sasa tukupigie ili iweje?
Weka mali hapa na specs zake na bei, na picha moja hivi ya kuvutia then wanunuzi tushawishike tukupigie simu baada ya kuona bidhaa.
Mbona mnafanya biashara ki-local namna hii?
Weka kila kitu hapa, ili kuchuja wanunuzi. Weka picha za bidhaa zako, specs, ect Haya mambo ya kupokea simu elfu moja halanu wananunua wanne!! Ni uzamani...