INAUZWA Jipatie mashine za kukimbia (TREADMILL) kwa gharama nafuu

INAUZWA Jipatie mashine za kukimbia (TREADMILL) kwa gharama nafuu

hatym

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
513
Reaction score
178
Unagonja nini?
Wahi sasa ujipatie mashine hizi kwa gharama nafuu kabisa zikiwa ni mpya kabisa.
Hitup motorized treadmilll with no incline
User maximum weight 11,000
Tsh 1,400,000
Maximum speed 12km/hour
341f7463ed3ad74fb468c05b1cd8fd29.jpg
aadfe7a60278d9bc7ebcec3ca37d6b7e.jpg

Kizuri kuhusu sisi,tunakuletea mpaka ulipo kwa dar es salaam bila gharama
Na tunakufungia bure


Hit up treadmill with incline
Hii inajinyanyua na kutengeneza slope ya 15degrees
Inabeba mpaka mtu mwenye uzito wa kg 130
12km/hour
Tsh 1,700,000
Free delivery kwa dar es salaam
Free assembly
781c834ef7c07ed628b531a8a8d6e391.jpg
b63ed59f29b9afc49a1837e0acb17e78.jpg
4dab2aebf1d08a165e3be458bdc50767.jpg

Wasiliana nasi
0758728258
0718327776
Email;info@fitnessempire.co.tz
Www.fitnessempire.co.tz
Au tufollow katika account yetu ya instagram @vifaa_vya_mazoezi kuweza kuona vifaa vingi zaidi na namna vinavyotumika
 
Bidhaa mpya
Six pack care
Mashine ambayo ni mult functional utafanya mazoezi ya mwili mzima kupitia kifaa hiki ukiwa nyumbani
Kwasasa vipo kwenye promotion kutoka 350,000 mpaka 300,000
Wasiliana nasi
0758728258
0718327776
Kwa dsm delivery ni bure

 
Mzigo mpya umefika,ni mashine mpya za kukimbilia,zinazojumuisha massage,dumbell mbili ,sit up lock pamoja na waist twisting disc
Usisahau kuwa mashine hizi ni incline zinajinyanyua na kutengeneza mwinuko,pia zina speaker wakati unafanya mazoez zinakuburufisha na mziki,
Horse power ni 3HP
Speed up to 14km/h
Inabeba mwisho mtu wa uzito kg 120
Mashine zote ni mpya zinafumuliwa kwenye boksi lake mbele yako
Bei ni 1,700,000
Delivery ni bure kwa wakazi wa dsm
Mikoani tunatuma pia
Wasiliana nasi
0758728258
0718327776
Info@fitnessempire.co.tz
www.fitnessempire.co.tz

15c627426881cab948e6ef1b7f882de4.jpg
1ba5d31c603392adfae2096b3d763f22.jpg
601dfa30ea368aa8dfd5bcfb1e6b557a.jpg
2d3b3ce2a79f75c27bb62274cbf1f673.jpg
 
New arrival
Classic Treadmill kubwa yenye uwezo mkubwa kiutendaji
Nafasi kubwa ya kukimbilia
Speed mpaka 18km/hour
Utapata na dumbell 2kg set
Chupa ya maji
Delivery ni bure kwa dsm
Mikoani tunatuma pia
Malipo ni baada ya delivery kwa wakazi wa dsm
Assembly ni bure pia
Price 1,900,000
0758728258
Unaweza kuitizama vizuri hap chini
731e0823190cbbe66d4a73a9b6a0ccc5.jpg
ff3935020b9159c4bbf17304f861f6fe.jpg
6e29cd1314bc686dde51e50fc2af9a96.jpg
5f111dbea43701b99ef7a923f60f5c9f.jpg



Unaweza kutufollow instagram kupitia link hii
Fitnessempire_tz (@vifaa_vya_mazoezi) • Instagram photos and videos
 
Kuna sehemu huko jumia wanauza from laki 2 mpaka laki 2 na40 za bei hiyo zina tofauti gani na hizi ?
 
Kuna sehemu huko jumia wanauza from laki 2 mpaka laki 2 na40 za bei hiyo zina tofauti gani na hizi ?
Angalia vizuri mkuu,hakuna mashine ya kukimbilia inayotumia umeme unaweza kununua mpya kwa laki mbili
 
Back
Top Bottom