Karibu nikuuzie mbegu bora ya Kambale kwa bei nafuu ya Tsh 300 kwa kifaranga kimoja.
Kambale ni aina ya samaki mstahimilivu na anayefugika kwa urahisi kuliko aina nyingine ya samaki. Mbali na kuwa mstahimilivu, pia wana sifa ya kukuwa haraka mara mbili zaidi ya sato.
Unaweza kuboreshe mazingira ya nyumbani au shambani kwako kwa kuanzisha kibwawa kidogo. Baada ya miezi kadhaa (6-9) utaweza kujipatia kitoweo cha uhakika na kuongeza kipato chako
Faida za kununua vifaranga kutoka kwetu:
Utapata uhakika wa mbegu bora ya Kambale
Bei nafuu ya Tsh 300 kwa kifaranga badala ya Tsh 500
Huduma ya ushauri bure kuanzia mwanzo hadi siku ya mavuno
Packaging na usafirishaji mzigo hadi Mkoa wowote ulipo
Tunapatikana Dar es Salaam - Bunju B.
Kwa maelezo zaidi na mawasiliano, tafadhali piga simu au tembelea shambani kwetu
Call/WhatsApp: 0758-779-170
Ndio inawezekana, lakini haishauliwi ni muhimu kufanya tathmini ya kina na kushauriana na wataalamu wa mazingira kabla ya kuchukua hatua kama hii ili kuzuia madhara yanayoweza kutokea. Pia, ni vyema kufuata sheria na taratibu za kitaifa na kimataifa kuhusu uzalishaji na kuingiza spishi mpya kwenye maji ya asili.
Nataka nianzishe hii project kilimanjaro, nimepitiwa na kajito shambani kwangu, sitaki kuingia gharama za kuwalisha, je inawezekana kwa kuwawekea mazingira rafiki ili wale vile vilivyomo katika kajito hako!
Nataka nianzishe hii project kilimanjaro, nimepitiwa na kajito shambani kwangu, sitaki kuingia gharama za kuwalisha, je inawezekana kwa kuwawekea mazingira rafiki ili wale vile vilivyomo katika kajito hako!
Ndio Mkuu inawezekana, kihasiri samaki wanakula wadudu na mimea midogo midogo kitaalamu inafahamika kama zooplankton and phytoplanktons
Ukirutubisha maji unayofugia samaki kwa kuweka kiwango sahihi cha mbolea kwenye maji unachochea uzaliji wa wingi wa hiyo mimea na wadudu (Zooplankton & Phytoplanktons) ambayo ikiwepo kwa wingi samaki wanatumia kama chakula na kupunguza gharama za ulishaji
Njia nyingine ni kuzalisha mimie kama Azolla au wadudu mfano magotts, nje ya bwawa na kuwalisha wamaki wako
Kwa kambale kama unaweza unaweza kusanya vyura au samaki wadogo wadogo toka kwenye vyanzo vya maji na kuwapa kambale kama chakula