Ray M
Senior Member
- Sep 23, 2012
- 182
- 61
Tumeanzisha Facebook Page yenye lengo la kuwapatia Watanzania popote pale walipo, fursa ya kujitafuta marafiki na hata wachumba ulimwenguni kote.
Cha kufanya, like Page yetu hapa kisha utakuwa na uwezo wa kupost hitaji lako kama ni Rafiki au Mchumba na kuweka mawasiliano yako kisha watu watawasiliana na wewe. Pia utaweza kupitia Post za wengine kuona kama yupo anayekufaa kisha uwasiliane naye.
Watu wote Mnakaribishwa bila UBAGUZI wowote.
Jitafutie Rafiki / Mchumba | Facebook
Cha kufanya, like Page yetu hapa kisha utakuwa na uwezo wa kupost hitaji lako kama ni Rafiki au Mchumba na kuweka mawasiliano yako kisha watu watawasiliana na wewe. Pia utaweza kupitia Post za wengine kuona kama yupo anayekufaa kisha uwasiliane naye.
Watu wote Mnakaribishwa bila UBAGUZI wowote.
Jitafutie Rafiki / Mchumba | Facebook