INAUZWA Jipatie sabuni zitokanazo na mazao ya nyuki

Claud01

Member
Joined
Sep 28, 2021
Posts
72
Reaction score
73
Matatizo mengi ya ngozi husababishwa na matumizi ya sabuni na vipodozi vyenye kemikali mingi pamoja na miale ya jua katika maisha ya kila siku.

Faida ya matumizi ya sabuni za mazao ya nyuki ni:

1) Huboresha ngozi kuipatia virutubisho vinavyoondolewa na kemikali za vipodozi vingine
2) Huondoa mikunjo usoni
3) Huondoa mba na fangasi katika ngozi na maeneo ya sehemu za Siri

Kwa mawasiliano zaidi
0758636908
Bei ni 1500 tu


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…