Utaratibu wa mikoani upo hivi utatuambia gari gani ya kukupakilia pia utatuambia majina ya kuandika kwenye mzigo pamoja na namba za simu
Baada ya kupeleka mzigo transport wakitupa risiti yao nakupigia picha ya mzigo na ya risiti ndipo unatuma hela
Au kama utakuwa na ndugu yako dar unaweza kumuomba aje akuchukulie dukani kwetu akakutumie kwenye gari