Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Sio kila mtu anapenda kukuona ukifanikiwa. Tumezungukwa na watu wenye roho mbaya wakiuliza lini utaanguka maisha yako
Usipotawala utatawaliwa. Usipotafta raha machungu yatakuwa mtaji wako ukiwa na maumivu ni furaha kwao
Mateso yetu kwaoo n sikukuuu
Kuanguka kwetu n shangwe usiku mzima kwenye nyumba zaoooo
tafuta furahaa usikae na mtu akupi furaha ya moyo wakooo
Waebrania 12;14
Tafuten kwa bidiii kuwa na amani na watu wote
Ukikaa na mtu akupi amani mwache aijalishi umekaa nae umejuana nae mda gani mwaka miaka hauna amani anakuongezea maumivu ya moyo kimbia
Usipotawala utatawaliwa. Usipotafta raha machungu yatakuwa mtaji wako ukiwa na maumivu ni furaha kwao
Mateso yetu kwaoo n sikukuuu
Kuanguka kwetu n shangwe usiku mzima kwenye nyumba zaoooo
tafuta furahaa usikae na mtu akupi furaha ya moyo wakooo
Waebrania 12;14
Tafuten kwa bidiii kuwa na amani na watu wote
Ukikaa na mtu akupi amani mwache aijalishi umekaa nae umejuana nae mda gani mwaka miaka hauna amani anakuongezea maumivu ya moyo kimbia