Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 687
- 1,179
HAtua
Kata cabbage kama inavyokwatwa vipande ndogondogo ya mboga changanya carrot na hoho na chunvi kidogo kisha pasua yai mbili koroga mchanvanyo huo na mayai
Baada ya hapo weka mafuta kwa flampen ikichemka mafuta weka huo mchanganyo kama vile tunavopika chapati za kumimina
Aisee utatoa kitu amaizing kama piza sio piza
Kata cabbage kama inavyokwatwa vipande ndogondogo ya mboga changanya carrot na hoho na chunvi kidogo kisha pasua yai mbili koroga mchanvanyo huo na mayai
Baada ya hapo weka mafuta kwa flampen ikichemka mafuta weka huo mchanganyo kama vile tunavopika chapati za kumimina
Aisee utatoa kitu amaizing kama piza sio piza