Jipongeze kuzaliwa mwanaume

Je ungezaliwa nyani dume ama tembo wa saadani ungekuwa wapi muda huu? Tushukuru kwa uumbaji wa maanani na maumbile aliyotupa.
 
Jamani topic ya kiumeni hii..!msipandishe jotro jinsia pinzani
 
Kosa kuzaliwa mwanaume ingekewa saivi unahangaika magengeni na kikapu ukitafuta mapochopocho ya kumpikia mzee jioni au uko jikoni na kanga moja ukimuandalia mzee

ningekuwa mbele kama khadija liganga au irene kiwia kutetea masosti.. lakini ni mwanaume nipo nafanya yangu tu..
 
ningekuwa mbele kama khadija liganga au irene kiwia kutetea masosti.. lakini ni mwanaume nipo nafanya yangu tu..

fanya yako, vuja jasho ila asubuhi lazma uache kodi ya meza.
 
Mleta mda umewaza mawazo ya kijinga ever, Pyuuu!!!!!!!!
 
Unajua kukojoa huku umesimama ni raha sana.? Duuh kama ningezaliwa demu saizi ningekua nawaza hubby akirudi kwa jobu anigegede.?! Teh teh teh wanawake wana baraaa,mala sijui hedhi,fangasi ktk papuchi,kupigwa mtungo... shda tupu... M.b.o.o.o uyeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…