Jipongeze kuzaliwa mwanaume

me naona wanaume ndo mna tabu ukitembea kidudu kinaenda kushoto kulia mara asimame mwenyewe loh.............. bora mwanamke bwana anaraha..

Hiyo ndo raha miss chagga kidudu kinafanya mazoezi ya viungo.
 
Last edited by a moderator:
Msaidieni mwenzenu kwamtoro,binafsi huwa nawadharau sana wanaojiona bora kuliko wengine.

Jus 4give him He is not what he is..! Ni Mwana jukwaa so twende naye hivyo hivyo
 
Last edited by a moderator:
Kosa kuzaliwa mwanaume ingekewa saivi unahangaika magengeni na kikapu ukitafuta mapochopocho ya kumpikia mzee jioni au uko jikoni na kanga moja ukimuandalia mzee

Hizo ni zarau na uzalilishaji kwa wanawake kumbuka kama siyo mwanamke usingekuja duniani, pia umemkufuru Mungu lazima uwatake wanawake radhi haraka iwezekanavyo
 
Post na thread nyingine ni matusi kwa wazazi wenu.....mnajitafutia radhi za bureeeeeee!

hakika ndugu nilitaka kukoment ujinga nikamfikiria mama yangu.... ngoja nikimbie kwenye thread hii ya kipuuzi
 
Kuna mtandao mmoja bidadas waliniacha hoi. Jamaa aliuliza kama bidadas wakiweza kuwa wanaume kwa masaa 24 ni kitu gani wangependelea kukifanya. Wengi walisema kugegeda na pia kuexperience kukojoa wima 🙂🙂

Mi natamani sana ningezaliwa mwanaume;

Ninachokitamani kwa wanaume ni kimoja tu ..........
bidii yao ya kutafuta pesa ............. si zaidi.
 
Hizo ni zarau na uzalilishaji kwa wanawake kumbuka kama siyo mwanamke usingekuja duniani, pia umemkufuru Mungu lazima uwatake wanawake radhi haraka iwezekanavyo

....as if you mean it...!
 
Hizo ni zarau na uzalilishaji kwa wanawake kumbuka kama siyo mwanamke usingekuja duniani, pia umemkufuru Mungu lazima uwatake wanawake radhi haraka iwezekanavyo

...as if you mean it...!
....as if you mean it...!
 
sidhani kama wewe unazo kichwani? mimi ni mkristo! ukisoma majukumu aliyopewa mwanaume usingeandika hiki kitu! au wewe mwenzetu ni wa kiume?
 
sidhani kama wewe unazo kichwani? mimi ni mkristo! ukisoma majukumu aliyopewa mwanaume usingeandika hiki kitu! au wewe mwenzetu ni wa kiume?

Hatupo debate hall...!
 
Kuna mtandao mmoja bidadas waliniacha hoi. Jamaa aliuliza kama bidadas wakiweza kuwa wanaume kwa masaa 24 ni kitu gani wangependelea kukifanya. Wengi walisema kugegeda na pia kuexperience kukojoa wima 🙂🙂

Kweli mabazazi wako wengi
 
me naona wanaume ndo mna tabu ukitembea kidudu kinaenda kushoto kulia mara asimame mwenyewe loh.............. bora mwanamke bwana anaraha..

kwa mara ya kwanza nilipoiona hiithread nilivutiwa nayo na kwa kuwa sikudhani kuwa ingekuja kugeuka kuwa kukoment matusi juu ya jinsia ya kike...what i was expect ni kama kuwashangaa wasichana kukaa muda mrefu kwenye kioo ......kuvaa viatu virefu wakati wanaumia mpaka inabidi watembee naviatu pea zaid yamoja kwenye gari........na vitu kama hivyo ...lakini si kwenda eti we unabreed mi sibreed.....sijui unavyogegedwa unashurutisha mi nakuwa kwa juu napata raha....huu ni utoto na udhalilishaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…